Itakua alijipost status akiwa na mzazi mwenzake labda, Na kumbuka aliondoka bila kumuaga Uyo Msukuma na baada ya kutoka safari hakufika nyumbani akaishia grocery....
Sema vifo vingine tunajitakia tu kwa lazima.
Dunia hata haichanganyi ila wewe ndo unajichanganya. Mtu kashazalishwa huko wewe bado unamuendekeza kuwasiliana naye wa Nini? This time akuue kabisa ukome.... Shwain
Pole sana kwa uliyoyapitia, wanaume hawafanani kikubwa kuangalia ustawi wa watoto wako kakita hiyo ndoa yako mpya.
Na je ndugu wa huyo mume wako mtarajiwa wanajua kama unawatoto? Maana chokochoko huanzia hapo.
Swala la kuwa na watoto wengi au wachache ni maamuzi ya mtu binafsi. Ukizaa wengi uwe na uwezo wa kuwahudumia.
Kwa mimi binafsi tangu napata akili sikuwahi kutamani kuwa na watoto wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.