Recent content by Mengi Ayoub

  1. Mengi Ayoub

    Shabiki wa Mandonga

    Sisi mashabiki wa Mandonga mtu kazi bendera ya kuzimu , mvamia mitumbwi ya vibwengo Leo tunaamka saa ngapi 😂😂😂? Ila kitu kimoja ambacho tuna uhakika nacho toka kwa bondia wetu ni kupigwa .
  2. Mengi Ayoub

    Enzi za utoto 😂

    😂😂😂 Ila huoni karidhika
  3. Mengi Ayoub

    Enzi za utoto 😂

    😂😂 Na mpaka aje agundue sasa
  4. Mengi Ayoub

    Enzi za utoto 😂

    Hapo kuna mmoja amepigwa changa la macho 😃 umegundua nini ? Na unakumbuka nini enzi za utoto
  5. Mengi Ayoub

    Kumbe Yanga waliiga muonekano wa jezi zao

    😂😂😂 Sawa bhana
  6. Mengi Ayoub

    Kumbe Yanga waliiga muonekano wa jezi zao

    😂 utopolo bhana Kumbe jezi zao mpya waliiga kutoka sehemu fulani ila wao kwazidisha madoido matokeo yake kututia aibu tu .. ama kweli nyuma mwiko mbele mwiko 💚💛
  7. Mengi Ayoub

    Jifunze namna ya kuitega pesa

    Simu ilizimika mkuu
  8. Mengi Ayoub

    Uzi mpya ligi kuu

    Hivi macho yako yanaona kama mimi ? Nasikia Hadi traffic wapo
  9. Mengi Ayoub

    Jifunze namna ya kuitega pesa

    Ilibidi nirudi nyuma kwanza na hapo ndo niligundua kuwa niliingia kichwa kichwa bila kusoma mazingira
  10. Mengi Ayoub

    Jifunze namna ya kuitega pesa

    😃 Sikupingi mkuu, hiyo Hali ilinitokeaga mahali fulani mpka nikajutia mtaji wangu
  11. Mengi Ayoub

    Jifunze namna ya kuitega pesa

    Habari wakuu... Kwanza kabisa inatakiwa tuelewe kuwa kuna tofauti Kati ya kutengeneza pesa na kutafuta pesa. Mimi na wewe tunajua namna ya kutafuta pesa lakini watu matajiri wanajua namna ya kutengeneza pesa. Tofauti ya kutengeneza pesa na kutafuta pesa ni kuwa pesa haitaki kuonwa wala...
  12. Mengi Ayoub

    Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

    Na sijui ni kwanini wakuu wengine wa mikoa hawajifunzi toka kwa huyu
  13. Mengi Ayoub

    Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

    Kwa upande wangu naona haya mabadiliko ya Mh. Anthony Mtaka yalikuwa hayastahili kwa sasa . Sio kwamba mamlaka imekosea , hapana ila naona kama dodoma especially wamachinga na bodaboda na vijana bado walikuwa wanamuhitaji. Ila zaidi watu wa Tanga tunahitaji mtu kama huyu 💪
Back
Top Bottom