Me nauliza mfqno na conduct research ya covid 19 impqcts in supply chain, katka mkoa x na taasisi y iliyopo mkoa x, je ni research design ipi ni tumie apa, na je sample size and sampling techiques ipi nithmie? Kama target population ni 150?
Wakuu habari za weekend,
Naomba kuuliza, hivi unapo conduxt research kwa title za natuaral disaster kama COVID-19 , NI RESEARCH DESIGNI ipi ni nzuri kuitumia hasa kama unatumia case study ya mkoa mmoja katika taasisi moja?
Na je sample size and techiniques , katika designi iyo ni ipi ina kuwa...
Ukiniita NYANDA = uyu tulikuta pale msakila primary
Ukinita BISHOO// MIDO, UYU tulikutana pale rugwa,
Ukiniita Ginimbi, uyu wa pale hombolo dodoma
ukiniita jay najua uyu ni wa mzumbe 🤗🤗
naam kak lkn ata uwe na special.case kwene boom jwa hakuna utofauti wowote utofaut upo kene ada na mambo mengne lakn si kwenye boom meal qnd accomodation jwa eqal kaka
inshu niliyo iona hqpa ni kuwa kuna tatizo flani mtu kuiamini taaluma yake ni bora zaidi ya taaluma zingine, serious unakuja bilq hoja unasema procurement ifutwe? kisa et self employment? haya nikakuambia kuwa unaweza kufungua warehouse near port au railwy station, hoja ikawa kuwq ni ngumu kwa...
😅😅tuendelee kumpa nondo mwana aelewe, yakuwa ugavi na manunuzi ni taaluma nyeti mnoo, waziri mkuu majaliwa aliwahi sema taaluma ya procurement ni muhimu ivo wwandaliwe watu wenye weledi ili kuepuka risks mbalimbali serkarini, dah nataman ni mshusbie fact mda hautoshi😁,
kaka mtoa mada naomba...
kaka ipo ivi kama mtu anasoma enterprnuership, marketing (prochrement anavisomq ivi) apa kuna marketing research and investigation anapoamua kufungua biashara ya kufanya taaluma yake ataitumia kwa mfano hii handling au dispatching inamuwezesha kufanya delivery ya bidhaa zako at 5Rs, jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.