Recent content by Mema Tanzania

  1. Mema Tanzania

    Mema Magazine jarida lenye kulenga vijana

    Tunashukuru kwa kutambua mchango na kazi hii. #Tumesomeka #SautiHuru
  2. Mema Tanzania

    Mema Magazine jarida lenye kulenga vijana

    Shukrani kwa mchango wako Ziroseventytwo 🙏 Kupitia jarida hili tumegusia mengi na mazuri ya utambuzi kwa vijana, tunaomba upitie kisha utapatie maoni kipi cha kutekeleza.
  3. Mema Tanzania

    Mema Magazine jarida lenye kulenga vijana

    Asante! Unaweza kusoma jarida hili lenye kusheheni masuala mbalimbali yanayohusu vijana kupitia kiunganishi mema-magazine-edition-1-tumesomeka #Tumesomeka #SautiHuru
  4. Mema Tanzania

    Mema Magazine jarida lenye kulenga vijana

    Mema Tanzania Jumamosi ya tarehe 17 Aprili, 2020 tulizindua jarida la Mema Magazine toleo la kwanza linalofahamika #Tumesomeka likiwa katika programu maalumu ijulikanayo kama Sauti Huru. Jarida hili limesheheni maudhui yanayohusu masuala yafuatayo;- Afya na usawa na kijinsia Uraia na...
  5. Mema Tanzania

    Tuangazie rushwa adui wa maendeleo

    Tuangazie #Rushwa Rushwa ni aina ya ukosefu wa uaminifu au kosa la jinai linalofanywa na mtu, taasisi, au shirika lililopewa madaraka, kujipatia faida haramu au kutumia nguvu vibaya kwa faida binafsi. Rushwa inamaliza imani, inadhoofisha demokrasia, inakwamisha, maendeleo ya uchumi na...
  6. Mema Tanzania

    Ukeketaji dhidi ya wanawake na mabinti

    Kila mwaka ifikapo tarehe 6, Februari dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji. Je, unatambua wanawake na mabinti takribani milioni 7.9 wamepitia ukeketaji Tanzania? Licha ya serikali na wadau mbalimbali kupambana vilivyo na ukeketaji, kuna maeneo bado ukeketaji dhidi ya...
  7. Mema Tanzania

    Elimu ni ufunguo wa maisha

    Unamaana kiwango cha elimu ya juu sio lazima?
  8. Mema Tanzania

    Elimu ni ufunguo wa maisha

    "Elimu ni ufunguo wa maisha". Moja ya msemo ambao tumekuwa tukiusikia tangu awali. Ni kiasi gani msemo huu umeakisi maisha yako baada ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu?
  9. Mema Tanzania

    Nguvu ya muziki katika kuwainua mabinti

    Umefanya vyema kumpatia elimu ya kimtandao. joshua_ok zingatia haya!
  10. Mema Tanzania

    Nguvu ya muziki katika kuwainua mabinti

    Our Live #YouthChat Series continues with a Bang! After Danny Morgan, Cooogi, Erick Gyabo and many more - this Wednesday 7th we are going a little bit deeper into the business. We are proud to present you our next Guest. LyRanda Aalece singer/songwriter & our goodwill ambassador Ms. LyRanda...
  11. Mema Tanzania

    Vitabu vitano vya kukuza ujuzi wa fashion

    Moja ya tasnia kubwa duniani ni fashion, kazi ambayo inaweza kuwa career ya kijana kama akiwa na interest nayo. Kwa mujibu wa www.indeed.com fashion designer duniani wanaingiza wastani wa $6,000 (takribani milioni 14) kwa mwezi. Ukifanya tathmini kwa mazingira ya Tanzania, tasnia ya fashion ni...
  12. Mema Tanzania

    Dondoo 5 muhimu kabla hujanunua bidhaa ya chakula

    Inatuhusu, naamini katika wiki lazima upate unga, sukari, mafuta ya kula, sabuni, biskuti na pipi za watoto.
  13. Mema Tanzania

    Dondoo 5 muhimu kabla hujanunua bidhaa ya chakula

    Umewahi nunua chocolate ile unaipiga paap! inapukutika kama biscuits? Ujue umenunua bidhaa ambayo imekwisha muda wake. Kabla hujanunua bidhaa za kula ni vyema ukazingatia dondoo zifuatazo. 1. Jina halisi ya bidhaa Vyema ukajiridhisha bidhaa unayonunua jina lake halisi ni lipi kwani sokoni...
Back
Top Bottom