Nimeipenda sana hii maana wengine tunashughulikaga tunasahau hata kuoga kabisa mtu anarudi hata kumpokea unashindwa uko tu busy na zaidi wale wanaoenda kazini weekend ndio muda pekee wa kuhakikisha kila kitu kinakaa sawa
Zipuwawa na watu8 basi msijali nashukuru kuniita mtoto ndo tunajifunza humu humu lkn mimi najua kama mtu hupendi topic ya mtu unaiacha sio lazima uchangie watachangia wale wanaoona inafaa, toka niingie humu nimeona watu wapo huru kuuliza lolote au kuomba ushauri kwa lolote lile ambalo wamekuwa...
comp yangu hainiruhusu kureply kwa mtu mmoja mmoja labda ni copy na kupaste hata kufungua thread inanibidi nifanye kama vile nareply to topic otherwise haifunguki nitasolve soon sijaelewa tatizo nini
habari za mchana wana jamii hili ni angalizo tu kwa wale wenye watoto kwanza watoto wasizoee kufungulia watu milango muwafundishe maana kuna watoto wengine wakisikia mtu kagonga wanakimbilia geti wanafungua pili jamani watoto wafundishwe kutokuongea na watu wasiowajua zaidi ya salamu kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.