Recent content by Melck95

  1. M

    Msaada: Nguruwe wanakataa kula chakula

    Habari Mkuu Pole kwa yaliyokukuta. Naomba kutoa maelezo kidogo ambayo yanaweza yakawa msaada kwako na kwa wengine: Kwanza Mahindi yaliyoharibika kutafanya kuwa chakula cha nguruwe wako sio jambo zuri na kama nguruwe wako wangefanikiwa kula uwezekano wa kupata magonjwa yatokanayo na fangasi...
  2. M

    Msaada: Ugonjwa wa mbuzi kuzunguka. Huu ni ugonjwa gani?

    Mkuu kwanza pole kwa kupatwa na hali kama hiyo kwenye mifugo yako. Mimi nitatoa maelezo kiasi ambayo yatakusaidia, Kwanza Mbuzi,Kondoo na Ng'ombe ni baadhi ya Wanyama ambao tumbo Lao limegawanyika katika sehemu nne (Ruminants), kwa kawaida wanyama hawa hushambuliwa sana na magonjwa ambayo...
  3. M

    Naomba ushauri, maoni au maelezo kuhusu hii kozi

    Kwanini unasema hivyo mkuu Una-maanisha bila connection huwezi fanya shughuli yoyote ya utalii au ajira
  4. M

    Naomba ushauri, maoni au maelezo kuhusu hii kozi

    yeah ningependa wadau watujuze kiuhalisia fursa na mwelekeo wa hii sector ya utalii kwa kulingana na kozi husika
  5. M

    Naomba ushauri, maoni au maelezo kuhusu hii kozi

    Najipanga kwa ajili ya hilo mkuu
  6. M

    Naomba ushauri, maoni au maelezo kuhusu hii kozi

    Asante sana mkuu I like your quote "giving up is the greatest failure " , thanks for your encouragement.
  7. M

    Naomba ushauri, maoni au maelezo kuhusu hii kozi

    Asante mkuu, lakini kuhusu ugumu wa kozi katika maisha yangu huwa siamini katika hilo.
  8. M

    Naomba ushauri, maoni au maelezo kuhusu hii kozi

    Habari wana JF, Mimi ni kijana na nina Stashahada ya Afya ya wanyama na Uzalishaji ( Diploma in Animal health and production). Matamanio yangu mwaka 2020 ni kusoma kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA, naomba mwenye ujuzi na hii kozi au field ya utalii anijuze, atoe maoni au taarifa...
  9. M

    Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

    Nataka kujiunga na Bachelor degree
  10. M

    Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

    Ohoo! Nimepanga kuchukua hii kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA 2020.... Wakuu hapa vipi au napotea ??
Back
Top Bottom