Kaka nimestuka baada ya jana kujaribu kusex yaani mashine inaamka lakini hisia amna wala nimepiga nikatoka nikaona najichosha tu. Na kilichofanya ni hisi hivyo pia ni hiyo coment ya jamaa kudai kuwa alitumia ikawa inamkata hisia wakati wa tendo ndio maana nkajaribu kuchek kwa wanangu humu.
Nikwamba bado sijapoteza nywele japo kuna dalili kwa umbali na kuhusu nywele kuanza kuota jibu ni ni bado sababu kwenye maelezo pale wamesema matokeo yanaanza kuonekana baada ya miez miwili ikichelewa sana ni miezi minne. Kwenye side effect hicho akijaandikwa mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.