Recent content by Melancholic

  1. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Hivi Kuna msanii mkali wa singeli kuzidi kaje double killer huyu 45 anatisha sana

    Daaah mpaka Jf kuna waskiliza Singeli kweli huu mtandao umeshuka viwango ssa
  2. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Sahihii nimekuelewa
  3. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Aisee sikuwa najua hii kitu
  4. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Mkuu nimesema hivyo sababu nilikutana na coment kama hiyo mtandaoni
  5. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Hii kitu sijui inasababishwa na nini
  6. Melancholic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango naye. Nawaza bwana wake akijua sijui itakuwaje

    Kaka hapa sichangamshi genge hii changamoto naipitua kweli
  7. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Kaka nimestuka baada ya jana kujaribu kusex yaani mashine inaamka lakini hisia amna wala nimepiga nikatoka nikaona najichosha tu. Na kilichofanya ni hisi hivyo pia ni hiyo coment ya jamaa kudai kuwa alitumia ikawa inamkata hisia wakati wa tendo ndio maana nkajaribu kuchek kwa wanangu humu.
  8. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Nikwamba bado sijapoteza nywele japo kuna dalili kwa umbali na kuhusu nywele kuanza kuota jibu ni ni bado sababu kwenye maelezo pale wamesema matokeo yanaanza kuonekana baada ya miez miwili ikichelewa sana ni miezi minne. Kwenye side effect hicho akijaandikwa mkuu.
  9. Melancholic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango naye. Nawaza bwana wake akijua sijui itakuwaje

    Sawa kaka utakuwa umenisaidia sana
  10. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Wakuu nilianza kupata changamoto ya hairline kurudi nyuma japo umri wangu ni miaka 28 nilijaribu kutumia mafuta mbalimbali but sikupata matokeo. Ni kwamba nywele zangu za mbele zimeanza kuondoka. Baada ya kufeli nikaamua kutumia Minoxidil kirkland nakimbilia mwezi sasa but changamoto nayikutana...
  11. Melancholic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango naye. Nawaza bwana wake akijua sijui itakuwaje

    Cwez kuowa mshangazi mwanangu
  12. Melancholic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango naye. Nawaza bwana wake akijua sijui itakuwaje

    Sawaa mkuu nimekuelewa vzr
Back
Top Bottom