Recent content by Meinrald

  1. Meinrald

    Bashe: Ubunge nipeni mimi, urais baba yetu Lowassa

    Mbona hajamfuata Chadema?
  2. Meinrald

    Chagua mtu sio chama

    Hatudanganyiki. CCM No!
  3. Meinrald

    Kwa waliofungishwa ndoa za shida na raha Kanisani, Mnatakiwa kurudia upya

    Acha kupotosha watu Ndoa ni jambo la kimwili pia sio kiroho tu.Mbinguni hakuna Kuona na kuolewa tena. Hao wanaooana wanaishi hapahapa duniani sio Mbinguni.Wana baki na miili hii hii ya damu na nyama. Wewe ni mtume na Nabii nani?huduma yako inaitwaje? Ulisomea wapi huduma? Huyu juu hata maana...
  4. Meinrald

    Kwa waliofungishwa ndoa za shida na raha Kanisani, Mnatakiwa kurudia upya

    YN. 16:33 SUV Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
  5. Meinrald

    Kwa waliofungishwa ndoa za shida na raha Kanisani, Mnatakiwa kurudia upya

    Niambie jina la huduma yako inaitwaje? Na wewe ni Nabii na Mtume?
  6. Meinrald

    GE2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

    Mtoa mada kajipange upya.hujafanya upembuzi yakinifu.Ushauri,acha kukurupuka.I
  7. Meinrald

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Prof.Muhongo alistahili.safi sana wamejitendea haki.
Back
Top Bottom