Recent content by Mehminnaa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

    Pass mark inategemea wanahitaji watu wangapi mfano walikuwa wanachukua watu mara tati ya idadi wanayohitaji wanaenda oral
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

    Ni hivo wanatayarsh ujio wa mungu wao ndio maana wanasambaza Iman mbili sad hv 1.Mungu hayupo na 2. Mungu na shetani Wana nguvu sawa ili wakati Antichrist akifika kundi la kwanza na la pili pamoja na freemason wote watakuwa upande wake
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

    Campaign za freemason kutayarisha ujio wa 666
  4. M

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya Ajira acheni kuwawekea waomba ajira vigingi visivyo na sababu za msingi.

    Wanahakikisha kusiwe na ufojaji Kuna mwalimu mmoja aliwahi kupangiwa kazi serikalini wakamuingiza data zake zinasoma ameajiriwa tyara na anapokea mshahara Kila mwezi .Ilibidi apeleke vyeti vikaangaliwe kama kweli ni yeye au anayelipwa mshahara ndiye mwenyewe
  5. M

    JamiiForums Tanzania Watoto 20 mtaani kwetu watolewa English Mediums na kurejeshwa Kayumba

    Mimi n mwalimu nmesoma kayumba n nmefundisha English medium kama tatu kwa kweli kama pesa si za mawazo watoto wangu hawasomi kayumba
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata Remote jobs

    Hello! Msaada jamani waliowahi kufanikiwa na hizi remote jobs Huwa wanatuambia njia zipi maana Huwa naapply cjawahi pata na nasikia Kuna watu wanapata tupeane Siri angalau tupate kupata kipato Cha ziada
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nataka kujifunza Data analytics Online

    Sio ukisikia mtu amesoma course fulan ukadhani Hana msingi wengine ni Hali tu ya maisha bro.Mfano hapa nimesoma PCB nkapat na credit nmeshindwa ada za course za science nmepelekwa certificate ya ialimu wa msingi huko.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Je, Watoto wanaolelewa bila vipigo hawana maadili?

    Vipigo au kutokuwa na vipigo haisaidii peke yake kujenga maadili ya mtu inategemea na mambo mengi .Tabia njema ya mtoto anajifunza kutoka kwa wazazi na watu wanaomzunguka
  9. M

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa ufadhili wa masomo chuoni kwa wenye uwezo binafsi au taasisi

    Ndivyo pesa inavyoandikwa kwa maneno
  10. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Hivi kuchagua mkoa unachagua mmoja tu au unaweza ukachagua zaidi ya mmoja
  11. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Hivi Jaman naona barua iliyosainiwa ni Saini hii ya kwangu au na yenyewe inapita kwa mwanasheria
  12. M

    JamiiForums Tanzania Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

    Mtume hakuanzisha dini Ili apate support ya wayahudi kwanza sidhani kma mtu atataka support kwa kupinga dini ya mtu hata wewe hapo ni mfan suala la dini unazungumza mpaka maneno ya hovyo.Mtume hakuwa amesoma elimu yeyote kabla ya utume wake hakuwa ana knowledge ya uyahudi wa ukristo na alipokuwa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Kuna watu wakiongea tu unajua hamna elimu.Ndio maana hata Quran inasema hawapo sawa wenye elimi na wasio na elimu.Lugha Soo dini ingawa Quran imeshushwa kwa kiarabu .Hao
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Kuna watu wakiongea tu unajua hamna elimu.Ndio maana hata Quran inasema hawapo sawa wenye elimi na wasio na elimu.Lugha Soo dini ingawa Quran imeshushwa kwa kiarabu .Hao wazungumzaji wa kiarabu pia sio wote waislamu
Back
Top Bottom