Usidanganye kila mtu anajua hii kampeni ya kina MO kuonyesha kuwa yeye hahusiki na matokeo mabaya bali shutuma ziende kwa Mangung. Wewe wala sio shabiki wa Simba au Yanga bali shabiki wa MO
Huyu MO ni kuwa anadharau klabu au ni mbumbumbu? Kwani kwenye board kulikuwa na nafasi za kujaza? Kama kawateua hao kawaengua akina nani? Iliwahi kusemwa huku kuwa Simba kumwalika MO kuwa mwekezaji waliingia CHOO CHA KIKE
Maya
Mayalla ana akili sana. Ni kwamba anasapoti sana movement ya Lissu. Ndio maana Pascal Mayala akamuliza Tundu Lissu maswali mepesi sana ambayo hata mwanasiasa mchanga angeyajibu kwa ufanisi mkubwa. Nia ya Pascal ni Lissu awe juu, mama abwagwe
NImesikia kweli huyu muuaji namba moja yuko Morogoro Mkambarani. Ila nasikia hali yake ni kama zezeta fulani hivi. Afadhali angefungwa jela angekuwa anajitambua ila hapo alipo sasa mmmmmmmm
Zanzibar ndio walianzisha hizi drama za kutekwa, bara wakaiga. Kumbuka mashehe wa uamsho walitekwana baadaye wakakutwa porini, Sasa kutekwa imekuwa dili bara. ACT wameona CDM wanafaidi sana na hizi drama za utekaji nao wameingia sasa
unaposikia upigaji kiulaini ndio hapa. Stigler's gorge inatoa umeme kibao sasa tunamtafuta mwekezaji asambaze huo umeme. Hapo wala sio 30% commission bali ni 60%
Haina shakauko sahihi kusema hiyo sheria ni batili. Lakini sheria hiyo inapokuwa haramu mambo mengi sana yaliyomo kwenye hiyo shera naayo itaabidi yawe batili pia. Kwa mfano sheria hiyo ndiyo inayoanzishe National Audit Office. Je hiyo ofisi ni baatili? ia hiyo sheria ilianzisha cheo cha Naibu...
Huyu mzee ancheza n vichwa vya watu, anadhani kuwa kila mtu ni mjinga, Yeye aliewa ajira ya mkataba wa miaka 5 na uwezekano wa kupewa mkataba mwingine. Mkataaba mwingune ilikuwa ni uwezekano na wala sio lazima. Sasa mkataba wa kwanza unaisha yeye anadanganywa na watu fulani kuwa mkataba mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.