Sikubahatika kwenda bt nimeambiwa mkutano umetisha! Hakukuwa hata ulinzi. Nalisema hili kwani siri kali wamezoea kusema kuwa CDM wana fujo. C kweli kuwa CDM wana fujo ila ni njama za kuzuia ukweli ucwekwe hadharani. Bt tutafika tu! Kuna cku na cku yenyewd haipo mbali.
Jameni kwanza nawasalimu wanajamiiforums wote. Leo nimeamua kujitosa ingawa natumia kijinga cha moto kuandika ujumbe huu. Huyu m2 ngeleja hakujua kuwa aliuziwa kauziwa mbuzi guniani. Me naomba serikali itoe tamko kuhusu giza la nchi hii. Jeygay anacruse kwa vile hapati hii tabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.