mwakichi
JF-Expert Member
- May 14, 2011
- 417
- 95
wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ya stanbic tanzania kua na kias cha tsh 40bill..wakili huyo alishikwa ktk gari yake ya kifahari aina ya escelade na kukutwa na tsh million 20 ambazo alisema ni za matumizi yake madogo madogo ya siku..kwa taarifa zilizo rasmi zinanasema wakili median mwali anahusiano na al shabab na interpol walimfatilia kwa karibu mpaka kumtia hatian hivi majuzi.....
serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?
serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?