Wakili maarufu arusha akutwa na tsh 40 billion za AL shaabab

mwakichi

JF-Expert Member
May 14, 2011
417
95
wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ya stanbic tanzania kua na kias cha tsh 40bill..wakili huyo alishikwa ktk gari yake ya kifahari aina ya escelade na kukutwa na tsh million 20 ambazo alisema ni za matumizi yake madogo madogo ya siku..kwa taarifa zilizo rasmi zinanasema wakili median mwali anahusiano na al shabab na interpol walimfatilia kwa karibu mpaka kumtia hatian hivi majuzi.....

serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?
 
Kama usemayo ni kweli, 20 m matumizi madogo madogo ya siku, hii ni kubwa kuliko!
 
(JamboJema;2341831]Kama usemayo ni kweli, 20 m matumizi madogo madogo ya siku, hii ni kubwa kuliko)
mi nauhakika c wote tunaishi tanzania,kuna wengine tanzania yao ni kama america
 
wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ya stanbic tanzania kua na kias cha tsh 40bill..wakili huyo alishikwa ktk gari yake ya kifahari aina ya escelade na kukutwa na tsh million 20 ambazo alisema ni za matumizi yake madogo madogo ya siku..kwa taarifa zilizo rasmi zinanasema wakili median mwali anahusiano na al shabab na interpol walimfatilia kwa karibu mpaka kumtia hatian hivi majuzi.....

serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?

Kufuatilia watu wanaomega waume na wake za watu!
 
Toooba!!!kweli Tanzania kuna wazee wa vijisenti zaidi ya tujuavyo...nchi maskini lakini watu wachache wana pesa mpaka 20m inaitwa ni pesa ya matumizi madogo madogo?huyu angeweza pia kusema hata 20m ni pesa ya chai!!??huku kazolamimba hata chai ya 500 kwa familia nzima haipatikani..
 
wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ya stanbic tanzania kua na kias cha tsh 40bill..wakili huyo alishikwa ktk gari yake ya kifahari aina ya escelade na kukutwa na tsh million 20 ambazo alisema ni za matumizi yake madogo madogo ya siku..kwa taarifa zilizo rasmi zinanasema wakili median mwali anahusiano na al shabab na interpol walimfatilia kwa karibu mpaka kumtia hatian hivi majuzi.....

serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?
Na bado nasikia kuna wengine wanasafiri na makapu ya mabunda ya noti utafikiri benki. Bora huyo za AL Shabab hawa wangine hazijulikani wanazipata vipi na niza nini??????????
 
sijui kwanini sikusoma sheria,inaonekana wanasheria nchi hii wanatengeneza mapesa sana,
chenge,mkono,marando,mawalla,IMMA, nk yaaniiiiiii
 
7tanbic si ya wasomali hii benki..kwani alshabab dhamb kuwa na pesa.
Hawa marekan wamezoea dhuluma na god mwaka huu kawakalia vibaya wanafiliska tu
 
acheni unafiki nyinyi, yani watu hua ni hodari kweli kufuatilia mambo ya watu ambayo hata hayana maana, MWAKICHI wewe hizo 40 b wewe ndio ulimuwekea kwenye account yake how do you know kwamba ana hizo hela, amekuoa wewe? mana huwezi kujua ukali wa pilipili unless umeionja wewe hayo mambo umeyatoa wapi, tanzania hii inamatatizo kibao mambayo mngeweza kuyaripoti humu ndani, mara ooh sijui watu wa interpool, umbea hua unasambaa kuliko ukweli, people are very stupid in here, we al shabab uliwaona? baaada ya kufata mambo yanayo kuhusu kazi kufata mambo ya watu, watu wengine bwana ni watu wazima ila kama wachamba wima midomo imewasimama shauri ya maneno, umbea na unafiki. rorho mbaya haisaidii ndugu yangu, watu wana husle ila hawatumii umbea kama wewe shoga wewe

Ndugu yako nini mkuu, maana naona unatetea sana huyu mtu. Katika hali ya kawaida kama ataweza kuonyesha jinsi alivyoweza kupata hiyo ngawira itakuwa haina shida. Katika nchi yoyote ni kitu cha kawaida kwa wanausalama kufuatilia pale wanapoona mtu anatengeneza pesa nyingi kiasi hiki tena kwa muda mfupi...kesi gani amesimamia kuweza kutengeneza cash kubwa kiasi hicho, biashara gani anafanya etc.. acha hasira
 
acheni unafiki nyinyi, yani watu hua ni hodari kweli kufuatilia mambo ya watu ambayo hata hayana maana, MWAKICHI wewe hizo 40 b wewe ndio ulimuwekea kwenye account yake how do you know kwamba ana hizo hela, amekuoa wewe? mana huwezi kujua ukali wa pilipili unless umeionja wewe hayo mambo umeyatoa wapi, tanzania hii inamatatizo kibao mambayo mngeweza kuyaripoti humu ndani, mara ooh sijui watu wa interpool, umbea hua unasambaa kuliko ukweli, people are very stupid in here, we al shabab uliwaona? baaada ya kufata mambo yanayo kuhusu kazi kufata mambo ya watu, watu wengine bwana ni watu wazima ila kama wachamba wima midomo imewasimama shauri ya maneno, umbea na unafiki. rorho mbaya haisaidii ndugu yangu, watu wana husle ila hawatumii umbea kama wewe shoga wewe
Punguza ukali ndugu, mbona unatoa povu? Wacha watu wajadili mambo
 
Namfahamu Mwale tangu anasoma Enaboishu miaka ya 1980s ni msiri sana anything ma be true. Baba yake pia alikua na pesa sana so ............
 
wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ....................................serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?
Hapo kwenye RED.....Nahisi hata kama wangekuwa wanajua wasinge sema.....wanaweza wakawa wamemegewa fungu ndio maana waka kaa kimya....yani aibu kweli kweli na uwozo hiyo idara.
 
<font color="#0000cd"><font size="3"><b>Na bado nasikia kuna wengine wanasafiri na makapu ya mabunda ya noti utafikiri benki. Bora huyo za AL Shabab hawa wangine hazijulikani wanazipata vipi na niza nini??????????</b></font></font>
<br />
<br />
Mtumishi! Hakika hawa wa2 sijui wana malengo gani na mapesa yote hizi! Mmmm!!
 
acheni unafiki nyinyi, yani watu hua ni hodari kweli kufuatilia mambo ya watu ambayo hata hayana maana, MWAKICHI wewe hizo 40 b wewe ndio ulimuwekea kwenye account yake how do you know kwamba ana hizo hela, amekuoa wewe? mana huwezi kujua ukali wa pilipili unless umeionja wewe hayo mambo umeyatoa wapi, tanzania hii inamatatizo kibao mambayo mngeweza kuyaripoti humu ndani, mara ooh sijui watu wa interpool, umbea hua unasambaa kuliko ukweli, people are very stupid in here, we al shabab uliwaona? baaada ya kufata mambo yanayo kuhusu kazi kufata mambo ya watu, watu wengine bwana ni watu wazima ila kama wachamba wima midomo imewasimama shauri ya maneno, umbea na unafiki. rorho mbaya haisaidii ndugu yangu, watu wana husle ila hawatumii umbea kama wewe shoga wewe
<br />
<br />
eee,umejibu kwa jazba
 
Back
Top Bottom