Nina ndugu alipata ajali na kupata ulemavu wa kudumu na hiyo ajali alisababishiwa kwani dereva alihama upande wake na kumfata. Sasa chombo chake hakikuwa na bima na alienda kudai fidia yake kwani hicho chombo kilisababisha ajali kilikatiwa third party na yeye alienda kudai fidia ya kwake kwa...
Natafuta mtu anaetoa mikopo..nina shida na mkopo wa laki tano nipo tayari kulipa riba 30%
Tutaandikishana na utakuja mpaka napoishi kwenye makazi yangu.
0692407964..nipo tayari hata leo
Habari zenu wakubwa nilikuwa naitaji ushauri juu ya course huu ndo ufaulu wangu form four
Math D
English D
Kiswahili D
Civics D
Geography D
hostory D
Physics D
Biology C
Chemistry sikufanya kutokana sababu zilizo nje ya uwezo wangu nilikuwa natka kujua kwa ufaulu wangu huo je naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.