Recent content by Medrany

  1. M

    JamiiForums Tanzania Patner wa kuwekeza nae aje hapa

    Wazo zuri ila sijatafiti ili kuona kama karanga zitastawi ipasavyo; naomba niachie homework nijiridhishe kama karanga zitamudu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Patner wa kuwekeza nae aje hapa

    Miaka 3 kwa haya ya budding(yaliyopandikizaw vikonyo yanakuw tayari, na haya ya kawaida ni miaka 6_8 ..yategemea na hali ya hewa ya eneo husik na aina ya udongo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Patner wa kuwekeza nae aje hapa

    Wakuu nahitaji patner au tulime matunda aina ya parachachichi au kupanda miti ya mbao pines . Eneo la kulima ni mkoani njombe Binafsi ninamtaji kiasi na Ardhi kiasi cha eka 15 maalumu kwa kilimo hiki. Aliyetayari tuwasiliane.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

    U Naweza kunichek nikuunganishie mashamba.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wekeza haraka shamba la miti

  6. M

    JamiiForums Tanzania Wekeza haraka shamba la miti

    Hii hapa mkuu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wekeza haraka shamba la miti

    Nitakutumia mkuu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wekeza haraka shamba la miti

    Wakuu shamba la miti , aina ya pines, Ukubwa Eka 2 miti 900 linauzwa. Unafuga miti unavuna kwa mkataba miaka (5) tangu mwaka huu 2017.Ardhi unairudisha kwa mmiliki asilia Miti ilipandwa 2012 hivyo ina miaka 5 mpk feb 2017. Ipo eneo salama, lisilofikika na moto huku likizungukwa na mashamba ya...
Back
Top Bottom