Recent content by meddytz

  1. meddytz

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Kwanini ukate tamaa mzee baba! Kwenye hao 200 yawezekana wewe ni mmojawapo! #Marufuku kukata tamaa [emoji123][emoji123]
  2. meddytz

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Nauli na malazi
  3. meddytz

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    bro Tz hii hii au kuna nyingne [emoji23]
  4. meddytz

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Unapigwa tifu kwanza, ukidevela unapelekwa class sasa unapigwa pindi, ukipata supp unapigwa doso.. mbona wataelewa tuuu
  5. meddytz

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    kuna hawa macounter kumi, misuli ipo huko [emoji3]
  6. meddytz

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    [emoji23][emoji23][emoji23] eti kuna mambo ya shule..
  7. meddytz

    Majambazi Wakenya Walivyotikisa na Kuweka Historia Kanda ya Kaskazini Nchini Tanzania

    ijue historia oy macho mbaya, umegomesha kuendeleza story?!
  8. meddytz

    Majambazi Wakenya Walivyotikisa na Kuweka Historia Kanda ya Kaskazini Nchini Tanzania

    [emoji91][emoji91][emoji91] Nasubiri muendelezo
  9. meddytz

    Mshahara wa Askari wa Jeshi la uhamiaji Tanzania

    [emoji3][emoji3][emoji3] hilo ni tatizo
  10. meddytz

    Mshahara wa Askari wa Jeshi la uhamiaji Tanzania

    Aliyemwambia hajamuweka wazi tu, ajaribu kufatilia atapata ukweli
  11. meddytz

    Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu jeshi la zimamoto kwa ambaye ana fahamu

    bila shaka ushaanza kujionea ZT, bado MT tu
  12. meddytz

    Mshahara wa Askari wa Jeshi la uhamiaji Tanzania

    Huo sio ubaguzi ni utaratibu tu wa kawaida, mtu wa degree ya Socialogy ilipwe sawa na MEDICINE? hata serkalini tofauti ipo mzee na hata kuzipata kwake hustle zinatofautiana, huyu miaka 3 yule miaka 5 plus mmoja wa Internship.. kuna tofauti kwanzia uraiani mpaka kwenye hivi vyombo hilo liko wazi...
  13. meddytz

    Mshahara wa Askari wa Jeshi la uhamiaji Tanzania

    SIO KWELI.. acha kudanganya watu kijana
  14. meddytz

    Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu jeshi la zimamoto kwa ambaye ana fahamu

    wizara ya mambo ya ndani imebaki mikeka miwili ya usaili, FIRE pamoja na PRISONS, ila kwa wale waioomba MAKAO MAKUU tu, ambapo wanaitwa before december
Back
Top Bottom