Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

Wajukuu Leo mioyo imekuwa mweupe peee!!!, tugange yajayo Sasa Nini kinakwenda kufanyika Dom? Je Kuna madesa? Je Kuna maswali gani yataulizwa? Jibu bado kiza
 
Alhamdulillah nami nipo kwemye wachunguzi wasaidizi, niliomba zote ila nimebahatiba za wasaidizi. Nimesoma sana roja za wadau, sasa tupeane roja za aptitude wakuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom