mwaka huu tcu wametoa selection kihuni waliodahiliwa kujiunga na elimu ya juu majina yao yametangazwa na vyuo walivyochaguliwa na huku wengi wakibaki na sintofahamu kwa kutoona majina yao.
Hapo hapo HESLB wameanza kijimchezo kama hicho hicho kuona mikopo kwene vyuo husika hebu waache uhuni kama...
unajua mambo mengine bwana jamaa anaswali zuri na lenye mantiki lakini habari za mitaa ya marekani na kiingereza yametoka wapi? wewe mitaa unaijua kwene miziki ya huko sasa kuna watu wameishi huko na wanajua lugha vizuri na hawasemi, na kama unafikiria wanaoenda marekani wanaenda ongea unalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.