Pole sana ndugu Elton watu wa hivyo hawakosekani Dunia hii ya leo tamaa zimetujaa wewe unapost bure mwingine anaibeba na kwenda kujipatia ujira pasipo na kuumiza kichwa,ahsante kwa sehemu hizi ulizotupatia nimejifunza mengi kupitia riwaya hii nimejuta nimekuwa mpya na ninaweza kupenda tena bila...
TAARIFA haijakamilika mkuu imetokea maeneo Gani? Kwa ninavyofahamu Kaprikoni inafanya safari za kutoka Mbeya kwenda Arusha na hiyo Premier inasafiri toka Mbeya kwenda MWANZA.
Unapokuwa umeitunza siri kubwa maishani na inakutafuna ndani ya moyo wako.....jitahidi kufanya suluhisho mapema ZAIDI Bi. Jamila mara baada ya kuiona Ile picha ya familia ya JC alitakiwa kujua kwamba Dua na Sara zimrkubaliwa ili apate nafasi yakuomba msamaha too bad akaamua kuendelea Kuwa kimya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.