"Hivi ni kitu gani kimeifanya CCM watu waikatae kwa kiwango hiki? Je ni kukosa mvuto?, escrow?, katiba pendekezwa?,richmond?, maisha kuwa magumu zaidi?, ubabe katika chaguzi?,dharau za baadhi ya viongozi serikalini?, wabunge wa ccm kushindwa kukemea ufisadi bungeni?, kuongezeka kwa gap kati ya...
Katika hatua nyingine chama Alliance for Chage and Transparence-Tanzania ACT kimepinga vikali Rasimu ya Katiba iliyopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba katiba na kusema Bunge hilo limekosa uhalali wa Kisiasa.
Haya bwana kumbe nanyi mnapinga Rasimu. Waliowalipa watadai change.
Kibogo hao wanaosema Mwigulu kaokoa mishahara hewa hawajui lolote. hapo kama kuna mishahara hewa nadhani hata milioni 100. haifiki. kilichotokea ni kwamba, serikali iliamua kuweka mishahara ya wafanyakazi wote kutoka makao makuu (centrally) badala ya kupeleka katika Halmashauri. na katika...
mwigulu ni mbunge wangu Iramba Magharibi. hayo ndiyo tuliyokuwa tumemtuma Wanairamba akayaseme wakati tukimchagua. Tatizo ni kwamba ameanza kuyasema baada ya kuupata uwaziri (ambapo kwa sasa alitakiwa ayatetee) wakati akiwa sio waziri kazi yake ilikuwa ni kuitetea serikali kila siku, ht ifanye...
Nimependa namna mnavyomkosoa Huyo Mohamed ambaye kiuhalisia ni mnafiki Mwongo na hamjui vzr Nchemba. Mimi pia namfahamu Mwigulu Nchemba, ni mtoto mtukutu asiye na nidhamu anatoka kijiji kiitwacho Makunda, Kata ya Kyengege. Kata hiyo ina vijiji vitatu yaani Kyengege, Makunda na Mugundu. Miaka...
Nimeipenda komenti ya awali na jinsi Lukosi alivyojibu. Kweli Lukosi leo umekuja na ajenda hii. Mwalimu Nyerere angefufuka leo akakuta kuna muungano wa zilizokuwa nchi mbili kuunda nchi moja yenye serikali mbili hapo hapo angegeuka na kusema basi iwepo na serikali ya tatu. Kikwete...
Chris Lukosi ninamfahamu hata wakati wa kula rambirambi nilipomuuliza awali alinitukana na kujigamba kuwa ni uzushi wa kupikwa. lakini alipotakiwa kuthibitisha alivyopeleka rambirambi kwa mjane alituletea habari za benki na m-pesa. Lakini hapakuwa na ushahidi unaoonesha mjane wa Mwangosi kupokea...
sasa si utafute kifungulio? Ama nenda kwenye internet cafe kama simu yako haiwezi kufungua ila kwa kifupi ni haya
s2646 kyengege secondary school
div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 5 div-iv = 24 div-0 = 21
mtakumbuka kuwa mheshimiwa naibu waziri wa fedha mwaka jana aliisifia serikali kupita kiasi kuwa inachapa kazi kwa kile kilichoitwa kustandardize matokeo. Leo hii ona matokeo ya wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana (2013) katika shule ya kata atokayo yeye. Ikumbukwe kuna watoto wa...
kumbe we humjui vizuri mwigulu nchemba mbona kuna dada aliyesoma dom sec. Ambaye alikuwa kidosho wa nchemba wakati akisoma mazengo anakiri kabisa kuhusu hiyo sacoss na anamtumia huyo dada kama mwavuli wa kuvuna mahela. Chezea kihiyo wewe?
Yusuph Jr. achana na habariyamujini ni mzee wa Lumumba kwake maisha ni kupokea bk7 sisi tunaotoka noni yalila, yalagano, kibigiri, muntabidyede, uwanza na hata makunda nyumbani kwa Mwigulu twajua ari ya vijana juu ya Chadema na jinsi wasivyomkubali Mwigulu we subiri 2014 mwishoni ataziona hizo...
Hana ubavu huo ujue IRAMBA ni ya wasomi, juzi niliteta na vijana kutoka kijiji cha Mwigulu (MAKUNDA) na vijiji jirani kama Kyengege, Kinampanda na Ulemo wakaniambia kuwa Mwigulu alikuwa akitoa fedha ili vijana wachane bendera za CHADEMA lakini kila alipofanya hivyo bendera za CDM zikazidi kuota...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.