Mkuuu umenena sana tena askari ndo wamechoka na hizi propaganda Zack CCM Kama kuna taarifa juzi aliulizwa kwann Posho ya chakula kwa polisi haipandishwi ukilinganisha na jeshi la wananchi JWTZ lkn majibu yake akasema kama unaona jeshi wanapata hela nyingi basi nendeni jeshini tokeni huku Sasa...
Wanajamvi,samahanini naombeni ushauri wenu.
Nilikuwa na mpenzi wangu tumedumu miaka sasa lakini mwaka juzi alinipigia simu akiwa kwao Arusha akaniambia kuwa ana mimba na mimi nikahakikisha kweli ana mimba tena yangu maana kipindi natoka nae najua nilikuwa peke yangu.
Sasa alikuja kwenda Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.