Geofray Hassani
New Member
- Aug 13, 2015
- 4
- 76
Ndugu wana jamvi Hizi ni habari za ukweli zisizo na maswali. Nimelazimika kufungua accunt Jamii foum tangu jana ila ilichelewa kupata verification.
Nimesikitishwa sana na Ziara ya Kimya Kimya ya IGP ERINETST MANGU Ya kutembelea mikoani na kushawishi Askari kupigia kur Chama Cha Mapinduzi CCM kwa madai kwamba ni chama kinachowapa mshahara . Nimelinganisha na matukio mbalimbali yakiwemo ya kuzuiamsafara wa Lowasa Maandamano Nikaona kwa Vyoyote Vile IGP Hatendi Haki tarehe12/08/2015 Akiwa SINGIDA na 13 Akiwa Kigoma Akizungumza na Askari Alisema " Pigieni kura Chama Kinacho wapa mshahara"
Kauli hii iliniuma alipotamka akiwa singida ikabidi nifuatilie ziara zake kwa kuuliza askari wezangu wa kigoma na mwanza ambao walisema hata wao walishangaa IGP Kupigia kampeni CCM.
Nimeamua Kufunga accunt Mpya kuwajuza wa Tanzania juuya ubakaji huu wa haki unaoendelea ndani ya jeshi. ili wachambuzi na wanaharakati wafuatilie na kupinga kwa nguvu udhalimu huu
Nimesikitishwa sana na Ziara ya Kimya Kimya ya IGP ERINETST MANGU Ya kutembelea mikoani na kushawishi Askari kupigia kur Chama Cha Mapinduzi CCM kwa madai kwamba ni chama kinachowapa mshahara . Nimelinganisha na matukio mbalimbali yakiwemo ya kuzuiamsafara wa Lowasa Maandamano Nikaona kwa Vyoyote Vile IGP Hatendi Haki tarehe12/08/2015 Akiwa SINGIDA na 13 Akiwa Kigoma Akizungumza na Askari Alisema " Pigieni kura Chama Kinacho wapa mshahara"
Kauli hii iliniuma alipotamka akiwa singida ikabidi nifuatilie ziara zake kwa kuuliza askari wezangu wa kigoma na mwanza ambao walisema hata wao walishangaa IGP Kupigia kampeni CCM.
Nimeamua Kufunga accunt Mpya kuwajuza wa Tanzania juuya ubakaji huu wa haki unaoendelea ndani ya jeshi. ili wachambuzi na wanaharakati wafuatilie na kupinga kwa nguvu udhalimu huu