Nimekuwa nikisikitishwa na kauli zako mama Kanumba tangu msanii Lulu alipohukumiwa.mama yangu mama Kanumba,binadamu ni vyema tujifunze kusamehe.kufungwa kwa Lulu hakutokufaa chochote,kumbuka mwanao marehemu pia alikuwa na makosa ya kutembea na binti mdogo kinyume na maadili ya mtanzania.Hata...
Ndugu wanaume wenzangu,
Siku hizi kuna magonjwa ya wanawake mengi ambayo yametishia kabisa uwepo wetu sisi wazamiaji haswa chumvini.
Kwa maana kansa ya shingo ya kizazi ukiilowekea mdomo sidhani kama utatoka salama.
Vilevile U.T.I imetishia kwa kiasi kikubwa utaalamu wetu kwa maana unaichukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.