Recent content by mdundo ngoma sana

  1. mdundo ngoma sana

    Manchester city wataangamia vibaya mno leo

    Wazee wa come back leo watafanya kufuru pale etihad
  2. mdundo ngoma sana

    Je! Ni Conte au Mourinho FA Cup?

    mourinho ni tactician ambaye anaamini kwenye ulinzi.amekuwa akizikomesha timu nyingi ambazo ni offensive
  3. mdundo ngoma sana

    Madereva magari ya jeshi(JWTZ) ni janga kubwa mjini!!

    uzi wako invalid.raia tupo rafu sana kuliko wanajeshi
  4. mdundo ngoma sana

    Hawa ndio wachezaji mastaa watakaokosa kushiriki Kombe la Dunia 2018

    Tshishimbi wa Yanga masikini wapanda ndege wafungwaji waliobobea
  5. mdundo ngoma sana

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Nimekuwa nikisikitishwa na kauli zako mama Kanumba tangu msanii Lulu alipohukumiwa.mama yangu mama Kanumba,binadamu ni vyema tujifunze kusamehe.kufungwa kwa Lulu hakutokufaa chochote,kumbuka mwanao marehemu pia alikuwa na makosa ya kutembea na binti mdogo kinyume na maadili ya mtanzania.Hata...
  6. mdundo ngoma sana

    SHAHIDI: Chusa alipanga mauaji ya Bilionea Msuya

    ahsante mwandishi tunajifunza kupitia andiko lako.God bless u
  7. mdundo ngoma sana

    Guardiola ameiumbua E.P.L

    na kipigo kala vizuri tu
  8. mdundo ngoma sana

    Guardiola ameiumbua E.P.L

    alichofanya ni kawaida wenzake pia walifanya
  9. mdundo ngoma sana

    Hii ni kwa wanaume wenzangu mabaharia yaani wazamiaji

    Ndugu wanaume wenzangu, Siku hizi kuna magonjwa ya wanawake mengi ambayo yametishia kabisa uwepo wetu sisi wazamiaji haswa chumvini. Kwa maana kansa ya shingo ya kizazi ukiilowekea mdomo sidhani kama utatoka salama. Vilevile U.T.I imetishia kwa kiasi kikubwa utaalamu wetu kwa maana unaichukua...
  10. mdundo ngoma sana

    Ruge atimiza miaka 49, happy birthday Mdau

    uzee sio laana,sote tunautafuta uzee,usiupende sana ujana haudumu
  11. mdundo ngoma sana

    Kardinali Pengo hatajiuzulu

    uliyeandika utakuwa padri
  12. mdundo ngoma sana

    Diamond anaposema "bana choo" na "paka mate iteleze" unaelewa nini?

    haya maneno yanaishi hakika ipo siku ya mwisho na akhera
Back
Top Bottom