Recent content by mdudu x

  1. M

    CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

    Njaa hizo ndiyo zimekuweka hapo na ahadi za ukuu wa wilaya
  2. M

    Sumaye, tueleze miaka 10 Uwaziri Mkuu ulifanya nini?

    Kwa maana hiyo huwezi msifia Mkapa kwamba alifanya vizuri miaka kumi si ndiyo?kwa huwezi yoa sifa kwa rais na kumuacha mtendaji wake mkuu kwa miaka 10..kama mnakosa thread siyo lazima upost ,unajishushia heshima.."lofa wewe na pumbavu"in Mkapa tune
  3. M

    Nimeamini Magufuli ana nyota ya kupendwa aise

    Magufuri anatembea nao katika mabasi,nyanda za juu hawezi pata nyomi ulisemalo watu wanamshangaa tu na ahadi zake..kura ukawa
  4. M

    Msimamo binafsi: Mabadiliko (Yes) Lowasa (Big No)

    Kama ni msimamo wako binafsi umeuleta huku kufanya nini?pimbi wewe
  5. M

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    Mtasubili sana,najua thread imetoka kwa vijana wa Membe kutaka kuaminisha watu uwongo..mbona yake ya libya kaikwepa?marekani hawajawai kuwa na tatizo na EL na pia nchi za wenzetu chombo chenye mamlaka ya kufanya uchunguzi kikishatoa majibu hiyo sual siyo issue tena Tatizo watanzania mnaongea...
  6. M

    Sichafuki kwa uongo, na uzushi kama huu ni wa kupuuza

    Gharama za kurusha matangazo tu ITV live ni zaidi ya 120m,startv humo humo pia,unaposema hujatoa hela popote na wewe ni maskini hizo umetoa wapi,mshahara wa waziri hauzidi 5m...tumechoka kudanganywa na cheap politics za kuwadanganya watanzania eti nyinyi ni maskini npo kama wao wakati ni...
  7. M

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha

    Jua kuwa anawashauri pia,na yupo katika kipindi ambacho si cha kampeni subili apitishwe utasikia..ndiyo maana unamuona kingunge hapo siyo mjinga
  8. M

    Lowassa atoswa na uongozi wa Chuo cha Ualimu Patandi, walitakiwa kujiandikisha majina!

    Team membe mpaka mtaishiwa cha kuongea....
  9. M

    Masikini Sitta, Mwakyembe, Kinana, Nape n.k.

    Mkulima wa kuku,unaamini katika magazeti ambayo waandishi wengi ni wa pale ilala
  10. M

    Apson Mwang'onda na Timu yake waelekea Arusha kuratibu Mkutano wa Lowassa

    Membe kakutuma uleye uzi..usalama wake hawezi mfukia Apson kwani anazijua fitna nyingi zaidi yake...mjuze kuwa hata mipango yake ya kuwaleta mabalozi ns kuanza kutoa post kwa watumishi pale foreign tunaujua..na hizo bilion 3 alizoleta sasa alikuwa wapi miaka yote na kama utaratibu ni kila miaka...
  11. M

    Sihusiki na uratibu wa safari ya kwenda kwa Lowassa!

    Membe na siasa zake za ufitini,bt tupo nae mpaka mwisho
Back
Top Bottom