Jamaaaa ilifika wkt nikawa namuonea uruma kipindi cha ile Vita ya siku 12😀😀😀
Jamaaa kapoaza kimyaaa kabisa kabla yake ilikuwa mbwembwe tambo kibaooo mwisho alipotea siku tatu
hakuna Uzi.
WAISRAEL sijui wamempa nini Echolimai😅😅
Yeye kinamuuma nini. CCM ipo kwenye kuomba kura mikutano yote Inaendelea vizuri nyomi sio poaaa
pengine kakosa la kuchema mfano ingekuwa nyomi ndogo sana tungemsikia nakejeli zake kwasasa hawe mkakamavu kuvumilia shindano ya nyomi !!
Wanaccm wapo kwenye jambo lao kusanyiko kubwaaa pande...
Japo picha ya zamani lkn twende ivyoivyo !!!
Ajali popote zinotokea iwe kwenda kuzika, kwenye mpira, Safarini ,sooo tunashukulu hakuna wafu Mungu ni mwema kwa Wanaccm ajali kazini lkn October 28 tunatiki asubui asubui ✅️
Mbona unadanganya watu kitoto sio CHADEMA ndio wameweka mpira kwapani?????? Nchi ngumu sana kuna watu kuelewa jambo dogo ni shidaaa CCM ndio mana imewaza kuwapigia kura shubamit!!!
Tunakuja taratibu,,,
Kwako ww kuingiliwa mtoto wa kiume kwanzia miaka 3 kinyume na maumbile uyu ni mwanaume mzazi wake anategemea baadae awe baba pia wewe kiongoz wa Dini unamgeuza kinyume na maumbile
Kiakili tukio ili ndio bayaa zaid tulitakiwq sisi ndio tulete mada ya kudhaliiza watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.