Kwa wabunge wengi waliopo katika miji mkuu kama huu DAR ni ngumu sana kuweza kuona kazi aliyofanya Mbunge. Mfano kwa sisi wakazi wa ILala jimbo la Zungu huwezi kumpima Zungu kwa kazi alizofanya jimboni kwani hadi leo barabara za ndani maeneo ya Upanga na kwingineko hayana lami...na leo anaomba...
Kwa namna alivyosikika mkuu wa nchi kuhusu suala la kuwa na katiba mpya Kwa sasa neno "Kwa sasa" hana mpango nalo hii ikimaanisha nini. Huenda mpango wa kuwa na katiba mpya kupitia awamu yake huenda ukawepo hapo baadae. Dalili ya kuja kuwa na mchakato wa kuwa na katiba mpya utakuja siku za usoni...
Aliyosema Mh. sumaye Ni sawa kabisa kwani hawajawahi kumpinga na kutomtambua JPM bali uhalali wa namna mchakato na namna matokeo yalipatikana. Hapo ndio pana ukakasi.....
Asante sana mkuu kwa hili angalizo. Na mm pia nakubaliana na wewe kabisa kwa Hili. Na ni vyema kwa Sasa wapinzani wakausoma huu Uzi kisha kujipanga kwa 2030.
Wote Ni katika kulinda Maslahi yake kwanza sio yako mwananchi. Mwanasiasa yoyote yupo kwa ajili yake tuu... So anachotazama Ni wapi upepo unaelekea na yy hufata huko....
Okay sawa Kwa uamuzi huo. Kwani mkataba mlioingia na hao jamaa uliwataka kutoza kiasi gani cha pesa? Na kama hayo madai mliyoyabaini ni sawa licha ya kuwafutia mkataba ni hatua gani zaidi kama Manispaa mtazichukua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.