Leo ni siku ya ajali RATCO na NGORIKA huko Msata watu zaidi ya 10 wamepoteza maisha.HAPPY NATION huko Mikumi wawili wamepoteza maisha.KILIMANJARO toka Arusha _Dar limeacha njia hakuna aliyejeruhiwa. Na hawa wa power tiller na Fuso ndo funga kazi.Yote tumwachie mola.
Jaman hao ni kundi la watia nia ya ubunge na udiwani kwa tiketi ya ugombea binafsi, hivyo hawezi kutaja chama,ingawa Sheria ya mgombea binafsi inakuja.
Sio kama mgomo ulishaanza hapana ni maelekezo ya seriKali kwamba mabasi yanatakiwa kuendeshwa kilomita 80 kwa saa(80km/hr) na atakakaye kiuka hilo atanyang'anywa leseni na aende kusoma upya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.