Vina muda basi,Mungu siyo mjomba kama wenye madaraka wanavyofikiri,pamoja na madaraka yao makubwa waliyonayo ,Bado yupo mwenye madaraka makubwa zaidi.Nakama alivyoamua kwa busara ugomvi wa miaka mitatu iliyopita ataamua na huu pia.
Kuna muda wapangaji wenyewe wanazingua,nimempangisha dogo mmoja na mkewe wanajitafuta kimaisha.Maana hata sielewi wanachofanya,hajalipa Kodi yangu zaidi ya miezi minne sasa juzi naliuliza hela yangu vipi January hii lilivyokosa akili linanipandishia eti kuna wapangishaji wengine wanakaa hata...
Halafu unamsikia mtu anasema wanafilisika,kanji ameshatuzidi ujanja kufilisika siyo rahisi nimeangusha treni tatu halafu zote zilibakiza gemu siyo zaidi ya nne,toka Jana kanifungia cash out alijua alichokuwa anataka kufanya, mbavu zake acha mapambano yaendelee
Point yangu siyo wao wanatengeneza lakini kwa utafiti wa platform hii tu sijui kwingine inawezekana wao wakawa wanafanya biashara zaidi kuliko wenzao michongo tunayopeana humu asilimia zaidi ya 90 ni betpower.Inawezekana mifumo yao inazidiwa.ingekuwa wanapata hasara wangebadilisha strategy zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.