Unachokizungumza ni sahihi lakini pia kwenye suala la usafi inategemeana na saluni gani unaenda👈 kwa mfano zipoo saluni ambazo zinakua ni za high classic ( gharama ) na za kawaida pia zipoo,,,,👐lazima vitu vitofautiane kwenye suala la usafiii kiujumla kwa mteja na kwa muhudumu ,,,,,,,,,