Recent content by Mdemu2

  1. Mdemu2

    Picha hii inakukumbusha tukio gani?

    Babu wa loliondo Kikombe cha babu😂😂
  2. Mdemu2

    Stori gani uliwahi kusimuliwa kuhusu mchezaji wa mpira kumbe 'kamba'?

    Nakumbuka niliadisiwaga kwamba RONALDIHNO akikupiga chenga ya kisnake lazima kiuno kivunjike😂😂😂
  3. Mdemu2

    Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

    Asee huku nilipoo morogoro mahenge tena kuna hadu kiwanda cha kilombero lakini sukari ni bei 5000 cash
  4. Mdemu2

    Hali ya usafi kwenye saluni unayoenda kusuka au kunyoa ikoje?

    Unachokizungumza ni sahihi lakini pia kwenye suala la usafi inategemeana na saluni gani unaenda👈 kwa mfano zipoo saluni ambazo zinakua ni za high classic ( gharama ) na za kawaida pia zipoo,,,,👐lazima vitu vitofautiane kwenye suala la usafiii kiujumla kwa mteja na kwa muhudumu ,,,,,,,,,
Back
Top Bottom