Neno kwa Dr. jakaya kikwete na serikali yake.
Jirani akikuambia nyoka yupo ndani mwako ,usimuulize yuko wapi,wewe chukua hatua kumtafuta na kumuua huyo nyoka
kwa maoni yangu nafikiri Barak hakuwa anawasema Watu wa tanzania bali Serikali ya Tanzania)
Leo wana JF katika pitapita mitandaoni nimekuta hiii quote "if you are stand for nothing,you will fall for anything" nikaitafakari kwa mapana kwangu mie binafsi na taifa langu Tanzania.Je nini mimi binafsi nimesimamia na je nini Tanzania imesimamia?
majibu kuhusu mimi binafsi nimejijibu na...
Leo nimepata huu ujumbe(plz nisaidie kama unaweza, then issue ikitiki. mi ntakutoa ) kama private message
heading na body viko sawa
Nahisi hili ni bomu.
Leo ITV na TBC nimeona viti 2 vikiwa vimekaliwa na maji ya chupa ya kunywa mpaka mwisho wakati wa uzinduzi aliofanya Kikwete leo Dodoma.
kwa wanaJF hii inaashiria nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.