acha ukuda, nani kakwambia mbwiga we, mbona wengine wengi hawajaenda? umeongea hao tu, ni mgawanyo wa majukumu tu ndo umewafanya wasifike huko. we unajifanya mwanasisiemuuuu na wakati umefulia tu, hata mia huna, kama unazo za wizi au za hao mafisadi wenzio, acha ukuda wako!