Get well soon Kibanda, na namwomba Mungu wetu sote akaseme na nyoyo zetu mmoja mmoja tukakumbuke kwamba tusiwatendee wenzetu yale ambayo tusingependa kutendewa, pia tukumbuke faida na furaha tunayoitafuta kwa kuwakanyaga na kuwadhulumu wenzetu ni nya muda na mola hatasita kutupatiliza:crying:
Cant comment una uhuru wa kutoa maoni yako, wish the dead could speak tungepata story za upande wa pili wa shilingi, but is gone RIP Steve will be the last person to judge u
Italeta tija zaidi tukisaidia kuwapa mlango wa kutokea, je ni kweli kwamba milango yote ya watu kujiendeleza imefungwa? Kama ambavyo tungependa iwe all the real great thinkers wasaidieni wale wote wenye nia ya kujiendeleza wakiwemo hawa wasanii wachote hekima zenu siyo kuwavunja moyo tu-hope...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.