Recent content by Mdaiwa-Sugu

  1. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

    Nani mmiliki wa hizi Bus maana kule kusini ni zenyewe tu
  2. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Je, Pesa za IMF zimeanza kupigwa? Wananchi wanasomba Mawe na Kokoto kwaajili ya ujenzi Madarasa

    Bwana mkubwa huu ujenzi nazungumzia madarasa yanayojengwa kwa zile pesa za mkopo kutoka IMF ambapo imetengwa mil 20 kwa kila darasa, iweje sasa wananchi waenyeshwe ikiwa pesa ya ujenzi ipo? Huoni kama kuna dalili za upigaji hapa?
  3. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Je, Pesa za IMF zimeanza kupigwa? Wananchi wanasomba Mawe na Kokoto kwaajili ya ujenzi Madarasa

    Tuliambiwa tozo ni kwaajili ya ujenzi wa madarasa ili kuwapunguzia wananchi mzigo na kuna kiasi cha pesa kama bilioni kadhaa zilitengwa kwaajili ya shughuli hiyo + mkopo wa IMF. Sasa kama malengo yalikuwa ni kupunguzia wananchi mzigo, kwanini wachimbishwe tena msingi na kusombeshwa mchanga na...
  4. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Je, Pesa za IMF zimeanza kupigwa? Wananchi wanasomba Mawe na Kokoto kwaajili ya ujenzi Madarasa

    Tozo za miamala zina kazi gani mbona mzigo bado anabebeshwa mwananchi? Kuna maana gani ya kuendelea kukatwa tozo?
  5. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Je, Pesa za IMF zimeanza kupigwa? Wananchi wanasomba Mawe na Kokoto kwaajili ya ujenzi Madarasa

    Tuliambiwa tozo za miamala ya simu ni kwaajili ya ujenzi wa madarasa. Kadhalika, juzi kati serikali ya mama samia imekopa kiasi cha zaidi ya trioni moja kutoka IMF ambapo zaidi ya mabilioni ya pesa kwenye huo mkopo yametengwa kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa kama sehemu ya maandalizi ya...
  6. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Anayedaiwa kuwa 'Mzee Mathias Gwajima' amtaka Dkt. Dorothy kutotumia jina la Gwajima

    Tunaenda nayo kwa pamoja. Yani tunacheki movie huku tukijadili Tozo
  7. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Anayedaiwa kuwa 'Mzee Mathias Gwajima' amtaka Dkt. Dorothy kutotumia jina la Gwajima

    Movie inaanza kwa Mke kushambuliwa na shemeji yake wa damu tumbo moja na mme wake kwa kejeli na maneno makali na kupelekea mke kushindwa kutimiza majukumu yake aliyokabidhiwa na serikali kupambana na ugonjwa wa mlipuko uliotikisa dunia na taifa lake Baadaye mke naye uvumilivu unamshinda...
  8. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Waziri Gwajima kuagiza Mchungaji Gwajima akamatwe kinadhihirisha kuwa Serikali hii haiwezi kushindana kwa hoja

    Mtu na shemeji yake wameamua kutuletea igizo la futuhi. Acha tuone...
  9. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Wakuu wa Wilaya ambao wako kwenye hati hati ya utenguzi

    Kama umetajwa kwenye mkeka huu na umepona mshukuru sana Mungu na ujirekebishe. Ni hayo tu...
  10. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Wakuu wa Wilaya ambao wako kwenye hati hati ya utenguzi

    Mmoja tayari. Tuendelee kuhesabu
  11. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia achana na kuikumbatia CCM, fanya kazi zenye Maslahi mapana kwa Watanzania

    Kwa kikwete pia mlikuwa mnasema huu upumbavu ila alivyokuja magufuli mkaanza kutoa milio ya kila aina mkarudi kumkumbuka tena kikwete. Ndio maana mkapa aliwaita wapumbavu na malofa maana hamjui mnachosimamia
  12. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania TUHUMA: DED Karatu adaiwa kuwanyanyasa na kutamba kuwafanya chochote Watumishi bila kufanywa chochote

    Ukimpiga mkurugenzi huna kazi bwashee kumbuka ndo employer wako
  13. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania TUHUMA: DED Karatu adaiwa kuwanyanyasa na kutamba kuwafanya chochote Watumishi bila kufanywa chochote

    Huyu ni DED wa wilaya ya Karatu. Anaitwa Waziri Morice. Ananyanyasa sana watumishi wa Serikali katika wilaya yake na anavyowanyanyasa anatamba kuwa anaweza kuwafanya chochote na watumishi hao wasimfanye chochote wala kumpeleka popote. Baadhi ya Mambo ambayo amekuwa akiyafanya: 1. Amekuwa...
Back
Top Bottom