Write your reply...Mkuu nadeclare interest, mimi ni mdau kwenye Idara hiyo. Yaani kama afisa uhamiaji yeyote yule duniani hakukuluza maswali yafuatayo basi aidha mzembe, ama uzoefu umezidi, amekuogopa, umempa rushwa, ama amejiridhisha kwa kukutazama na kusoma taarifa ulizojaza. Maswali hayo ni...
Kuna watu wajinga sana halafu hawana hata uwezo wa kupambanua mambo.
Ukisema Mange ni hero, umamaanisha nini? Ameshinda kitu gani?
Nia ya kuitisha maandamano ilikuwa ni nini? Je imefanikiwa?
Katetemesha serikali kivipi? Hata, kwani operation UKUTA hali ilikuwaje?
Kila panapotokea viashiria...
Mnaniudhi mnaokuja na hoja hizi!!! Kwahiyo wizi wa CCM unahalalisha wizi wa vyama vingine?!!
Halafu, hapa kinachojadiliwa ni riport ya CAG ambayo inaonesha Mahesabu ya CCM ni safi!
Kamanda, tatizo ni wewe kuwa too defensive to accept challenges, mpaka unaonekana hujui mambo!!. Hivi kweli huna hoja ya kujibu?!!! Nooo, naamini unayo maelezo. Zijibu hoja zao.
Wewe kamanda vipi? Hapa hayaongelewi mahesabu ya nani wala nani. Ni ripoti ya CAG. Huko CCM wametoka safi, siyo kama miaka yannyuma.
Na hata kama CCM wanaiba siyo justification ya CHADEMA kuiba
Ni hivi, lugha ya ukaguzi ndiyo hiyo. Huwa haitoi conclusion ya wapi hela zimeenda Bali itakuonesha mapungufu ama upotevu was fedha. Ni kazi kwako kurekebisha ama kutolea ufafanuzi mapungufunama upotevu huo.
Hapa kunatiliwa shaka kuwa, CHADEMA haijawahi kukopeshwa kiasi hicho cha fedha, hakuna...
Sawa kabisa, si haya aliyoeleza yalishaisha toka kitambo! Katiba ilishabadilishwa sasa mwisho wa uongozi wa chama unajulikana, si ndiyo?
Ruzuku sikuhizi inafika hadi kwenye matawi.
Hakuna ushahidi wa upendeleo kwenye uteuzi wa nyadhifa mbalimbali ikiwemo ubunge wa viti maalumu.
Haya ni...
Ujinga wa wafuasi wa vyama ndiyo mtaji wa wanasiasa. Laiti wafuasi wa vyama wasingekuwa wajinga kusingekuwa na upuuzi kama huu.
Juzi mtu alikuwa mpinzani wako kindakindaki na unajua alikuwa kwenye fursa, mara mrija wake ulipokatwa anajifanya kuungana na wewe kwenye upinzani, na kwa ujinga nawe...
Hilo la kushikilia maiti ni kweli. Shemeji yangu alizuiliwa hapo mpaka tulipe deni. Mbaya zaidi familia ilikuwa imeiahiwa kabisa tukaambiwa tuandike barua ya kuomba msamaha. Kuna kitengo cha ustawi wa jamii pale Muhimbili, barua inaelekezwa huko.
Sasa hicho kitengo wanaingia kazini muda...
Kuna mambo kadhaa yaliyisababisha Makonda kuchukiwa na watu wachache huku wakijifanya ni wengi.
Nitataja matano
1.Hasira za watu dhidi ya Makonda baada ya kushikia bango madawa ya kulevya
2. Siasa
3.Hasira za watu waliotumbuliwa
4.mob psychology (kufuata mkumbo).
5. Wivu.
Duniani kote...
Kwani mbona maaskofu hawakuutoa waraka wao kwa siri? Yaani ibaki wao ma Raisi tu? Waliyekuwa wanamkosoa si ni Rais, sasa kuutoa waraka makanisani na kwa taifa kwa jumla ilikuwa ina maana gani?
Hivyo aliyeukosoa waraka ule, alifuata utaratibu uleule uliotumiwa na maaskofu.
Hapakuwa na haja ya kueleza kwanini hakupinga waraka wa nyuma. Muktadha wa waraka wake ulikuwa ni kujibu waraka uliopo. Hapakuwa na sehemu hata moja iliyo refer jambo lolote la nyuma. Hata waraka wa KKKT haukugusia jambo lolote la nyuma.
Hivyo Prof. Mkumbo alijibu waraka huu, na alijibu akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.