Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Wapinzan walishapanga hadi waziri mkuu atakuwa nan
Hahaaaahaaaa
Hahaaaahaaaa
Unajitahidi kujibu sijui wanakulipa ? Lkn anyway hata kifa leo au kesho hatuwezi epuka kifo wala ww huwezi muepushia kifo na kingine huyu sio nabiii na msela tu km akina Nebukadreza, farao, herode na akina pilato maana nao waliongoza watuWaliofurahia ni mafisadi na madawa ya kulevya
Huwezi ukafurahia kifo cha Mkuu wa Nchi
Watanzania tukakuacha tusikuonye Magufuli Ni mpango wa Mungu kuwa Rais wa Tanzania yeyote atakayeleta hila ni km anawachokoza Watanzania
Wapinzan walishapanga hadi waziri mkuu atakuwa nan
Hahaaaahaaaa
Hapa kaandika ujinga gani?Siutafute kazi ya mkuu wa wilaya kwa njia ingine, sio hii ya kuandika ujinga mtupu
Siutafute kazi ya mkuu wa wilaya kwa njia ingine, sio hii ya kuandika ujinga mtupu
Wewe hujui katiba inatambua dharura za magonjwa na vifo ?!. Na bado yupo makamu aliyepigiwa kura pamoja na Rais . Hivyo nchi haiwezi kuyumba kwa sababu ya dharura yoyoteKama wapinzani ndio hawa kina Zitto sijui nani,bora wafutike tu
Kiongozi mkubwa wa kisiasa unafurahia Rais kupatwa na matatizo?
Wewe hujui katiba inatambua dharura za magonjwa na vifo ?!. Na bado yupo makamu aliyepigiwa kura pamoja na Rais . Hivyo nchi haiwezi kuyumba kwa sababu ya dharura yoyote
going where?factory constuction?sgr? or firing 37 bullets on mhe tundu lissu, dispearing of azory, ben saa nane??? which is which my dada???????
Hivi jamani wananchi wa kigoma mnapata maji safi na salama angalau kwa kiwango knachoridhisha,vipi huduma za afya,umeme n.k sababu naona mbunge wenu yuko buzy kuomba mkuuwa nchi atangulie mbele ya haki sijui yeye na chama chake watafaidika nini hasa
Ujinga upi mkuu, pole inaonekana unateseka sanaSiutafute kazi ya mkuu wa wilaya kwa njia ingine, sio hii ya kuandika ujinga mtupu
Kifo ni lazima kwa binaadamu yeyote . Kuishi ni rehema kaka !!. Bila shaka Rais ana hekima na ameona hisia za wananchi wake . Afanye matengenezo panapo leta chuki kwa wananchiNdio mnamuombea Rais afikwe na mauti ili katiba ifanye kazi?
Mmetangaza ubaya mnastahili mlipwe ubaya
AminaWewe ni kama nabii uliyeshushwa kwa Nchi ya Tanzania Baada ya Nyerere kuja kuikomboa Tanzania kiuchumi
Nimekuwa nikifatilia unahutubia kati ya saa moja hadi saa moja na nusu kwenye ziara zako za kukagua maendeleo
Ila kwa uzoefu wangu viongozi wengi kwa sasa wanatumia dkk 30 hadi arobani tu kwenye hotuba hili ni swala la kiafya zaidi Rais wetu ,kusimama saa moja na nusu kwa mtu mzima aliyevuka miaka hamsini sio nzuri kiafya.
Najua unawapenda sana Watanzania Lakini naomba upunguze muda wa kuhutubia mawaziri wakusaidie kusema
Kupitia uzushi wa mitandaoni kuna kikundi cha watu walishagonga glas ya mvinyo kujipongeza kuwa Mwamba umeanguka wanaichukua Nchi
Walishaanza kupanga na safu mpya ya uongozi wao,unaweza kuona jinsi ambavyo hawa Wahaini walivyo
Taarifa ile ilizua taharuki sana, Watanzania tulikuombea sana ibada ya jumamosi kina Mama walijifungia kanisani wakimlilia Mungu akuepushe na kila ovu, naamini Mungu aliwasikia na tilifurahi kwa pamoja tulipokuona
Rafiki wangu wengi walizima simu siku tatu kwa jinsi walivopaniki kupitia uzushi uliokuwa ukienea leo ndio wamewasha simu zao baada ya kukuona kwa Tv, unaweza kuona ni kiasi gani inavyopendwa na Watanzania mzee wetu
Kila binadamu ataonja mauti,kwa mapenzi ya Mungu ila sio ya binadamu
Hivyo tunakuomba pata muda mzuri wa kupumzika,Kwasababu tunajua wewe ni mlevi wa kufanya kazi,
Kuna wapinzani walionyesha kufurahia sana hizi taarfa za uzush,wale waliofurahia wajiandae tu kwa kuwa wameanza wao
Tunakuhitaji sana mzee wetu Magufuli tunakuombea maisha marefu na yenye afya katika kuikomboa Tanzania
Polse sana. Dili 2025!Eti Nabii. Msikufuru wajinga nyie
Nilifikiri kichwa cha thread kitaendelea
Shauri zao. Tone la damu moja kwenye bahari ni ujinga mtupu. Wengi wetu tutalia na kumuimbea kama tunavyofanya sasa. Mafisadi poleni sana! Madeal ni 2025!Hamuelewi, na actually mpaka huko atapatikana Magufili mwingine sisis tunataka Tanzania Mpya. Baasi! Hebu sema asipoendelea kusikiliza nini cha mno mbona hukiweki bayana?Iwapo ataendelea kuweka pamba masikioni kwake, akae akijua SIKU YA KIFO CHAKE kuna baadhi ya watanzania watakesha wakila "bia" na nyama choma. Mwambieni Mungu FUNDI.
Kifo ni lazima kwa binaadamu yeyote . Kuishi ni rehema kaka !!. Bila shaka Rais ana hekima na ameona hisia za wananchi wake . Afanye matengenezo panapo leta chuki kwa wananchi
upo radhi. ata kumtoa kafara mama ako?Wewe ni kama nabii uliyeshushwa kwa Nchi ya Tanzania Baada ya Nyerere kuja kuikomboa Tanzania kiuchumi
Nimekuwa nikifatilia unahutubia kati ya saa moja hadi saa moja na nusu kwenye ziara zako za kukagua maendeleo
Ila kwa uzoefu wangu viongozi wengi kwa sasa wanatumia dkk 30 hadi arobani tu kwenye hotuba hili ni swala la kiafya zaidi Rais wetu ,kusimama saa moja na nusu kwa mtu mzima aliyevuka miaka hamsini sio nzuri kiafya.
Najua unawapenda sana Watanzania Lakini naomba upunguze muda wa kuhutubia mawaziri wakusaidie kusema
Kupitia uzushi wa mitandaoni kuna kikundi cha watu walishagonga glas ya mvinyo kujipongeza kuwa Mwamba umeanguka wanaichukua Nchi
Walishaanza kupanga na safu mpya ya uongozi wao,unaweza kuona jinsi ambavyo hawa Wahaini walivyo
Taarifa ile ilizua taharuki sana, Watanzania tulikuombea sana ibada ya jumamosi kina Mama walijifungia kanisani wakimlilia Mungu akuepushe na kila ovu, naamini Mungu aliwasikia na tilifurahi kwa pamoja tulipokuona
Rafiki wangu wengi walizima simu siku tatu kwa jinsi walivopaniki kupitia uzushi uliokuwa ukienea leo ndio wamewasha simu zao baada ya kukuona kwa Tv, unaweza kuona ni kiasi gani inavyopendwa na Watanzania mzee wetu
Kila binadamu ataonja mauti,kwa mapenzi ya Mungu ila sio ya binadamu
Hivyo tunakuomba pata muda mzuri wa kupumzika,Kwasababu tunajua wewe ni mlevi wa kufanya kazi,
Kuna wapinzani walionyesha kufurahia sana hizi taarfa za uzush,wale waliofurahia wajiandae tu kwa kuwa wameanza wao
Tunakuhitaji sana mzee wetu Magufuli tunakuombea maisha marefu na yenye afya katika kuikomboa Tanzania