Recent content by mdachi mdachi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

    Usisahau kuwa ndio wenye kashfa za ulawiti kwa watoto Hawa unaowasifia akiingia mkatolik huwa wako kimya hata watiwe kidole jichoni hawasemi chochote ila shida aingie asiye mkatolik ndio hujifanya wazalendo hakuna mfano wao
  2. M

    JamiiForums Tanzania Je, Usalama wa Taifa kazi yao ni kudeal na CHADEMA pekee? Vipi kuhusu ujasusi wa kibiashara

    Nawewe n wa kupenda njia ya tope mkuu kumbe
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tafiti za kisayansi zimeonyesha CHADEMA hii chini ya Lissu haiwezi kusambaratika kwa fedha na nguvu ya mahakama

    Ndio muwe wakwel sio kuandika uongo sasa, kuna haja ya kuandika uongo humu?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wanasema hongera Mama, Jambo lao la July Wameliona. Watakulipa fadhila Oktoba

    Acha kuvutia bangi makalion fala ww unatukana ili iweje boya wewe
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tafiti za kisayansi zimeonyesha CHADEMA hii chini ya Lissu haiwezi kusambaratika kwa fedha na nguvu ya mahakama

    Huo utafiti umefanyia wapi, tunaomba data za huo utafiti wako ili usiwe muongo km waongo wengine
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki kutoa hifadhi kwa waumini wa Gwajima

    Sio kweli kiongozi kwamba hakuna kanisa limewah kufungiwa duniani, Kanisa la makenzie kenya lilifungiwa mbona Tujitahid kuwa wakwel na tuwe na kumbukumbu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wanasema hongera Mama, Jambo lao la July Wameliona. Watakulipa fadhila Oktoba

    Mimi nampigia maana ktk awamu yake binafs nmepata ajira ambayo niliisubiria kwa miaka 6 nyumban, na ndugu zangu pia wamepata ajira kibao tu saiv tunapigiana simu tu vp huko ww umeongezewa sh ngap, wakat kipind cha nyuma ilikuwa tunapigiana simu kupigana mizinga Sijawah kupiga kura ktk maisha...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nitaijibu Barua Ya Kujiuzulu ya Humphrey Polepole kwa Hoja Nzito na kuonyesha Unafiki wake na wale wanaomtumia kumyumbisha Rais Samia

    Humu ili uonekane unaakili unatakiwa upinge kila kinachofanywa na serikali ila ukisapot au kuitetea serikal tegemea mitusi ya kutosha kutoka kwa hao wanaoamin wanaakili kuliko wote tz Umemjib vzur huyu polepole ila tegemea matusi ya kutosha kutoka wa nyumbu wanywa viroba
  9. M

    JamiiForums Tanzania Unafiki wa baadhi ya watanzania

    Watanzania tumekuwa na kaunafiki fulani na km tusipojirekebisha itatugharimu sana Kipindi cha kikwete kwa sisi ambao tulishakuwa na ufaham wa kufuatilia mambo ya siasa, Watz walikuwa wanalalamika na kusema kuwa nibora utawala(awamu) iliyopita wakimaanisha awamu ya rais mkapa, lakin hali hiyo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mishahara mipya: Samia Kaongeza Tsh. 90,000 tu basi! hii ni dharau sana kwa wafanyakazi

    Inatutosha hiyo maana tulivumilia kipindi cha magu hata hiyo 30k haikupatikana, Asiyeridhika kwa kidogo hata kikubwa hawez kuridhika
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuajiri wageni kwa kazi ambazo Watanzania wanaweza kuzifanya ni sawa?

    Nimeshindwa kuvumilia kwanza maslah madogo nkaamua kuondoka zangu nkaona isiwe shida
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuajiri wageni kwa kazi ambazo Watanzania wanaweza kuzifanya ni sawa?

    Katika wilaya ya Mbinga kijiji cha Ruanda mkoani Ruvuma ni moja ya sehemu ambayo yanatoka makaa ya mawe mengi Kumekuwa na utaratibu ambao naona hauko sawa na sijajua ni Serikali inakalia kimya suala hili au ndio utaratibu unaruhusu hivyo Huko Ruanda kuna makampuni mengi yanachimba mkaa, yapo...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Zambia mpinzani kachukua nchi bila Katiba Mpya

    Makamanda njaa hawa waogo km mwewe
Back
Top Bottom