Kuajiri wageni kwa kazi ambazo Watanzania wanaweza kuzifanya ni sawa?

mdachi mdachi

Senior Member
Mar 9, 2017
107
130
Katika wilaya ya Mbinga kijiji cha Ruanda mkoani Ruvuma ni moja ya sehemu ambayo yanatoka makaa ya mawe mengi

Kumekuwa na utaratibu ambao naona hauko sawa na sijajua ni Serikali inakalia kimya suala hili au ndio utaratibu unaruhusu hivyo

Huko Ruanda kuna makampuni mengi yanachimba mkaa, yapo ya kitanzania na ya kigeni

Tatizo lipo ktk utaratibu wao wa kuajiri kumekuwa na utaratibu wa kuajiri wageni kutoka bara la Asia ktk kampuni moja pale mpaka sasa namba inataka kulingana kati ya wabongo na hao raia wa bara la Asia na kwa taarifa za chini chini ni kuwa wataendelea kuja mpaka basi.

Wanaajiri mpaka kazi ambazo zilitakiwa zifanywe na wazawa mfano mafundi wa magari, mtunza store, ni kitu kisichoingia akilini kwamba hapa Ruvuma na Tanzania kwa ujumla hatuna mtunza store ama hatuna mafundi wa magari

Kinachonitatiza ni kuwa kazi za ndugu zetu wabongo sasa wanafanya wageni na wanaenda kuijenga nchi yao maana wanalipwa hapa bongo ila matumizi wanaenda kufanya kwao sasa Tanzania kwanza tunakosa manufaa ya mishahara yao na pia watoto wa Kitanzania wanakosa kufaidika na keki ya taifa,

Naomba mamlaka husika ifike kuchunguza suala hili maana tunakoelekea huwenda wanakijiji na wafanyakazi wa kampuni hyo wa kibongo wanaweza kuja kushikana mashati maana wao wakija wanajiona ni mabosi na kuanza kuendesha wabongo watakavyo.

Ama kama sheria zinaruhusu pia naweza kukosolewa kuwa hao wapo sawa hata kama wakiajiri waasia wote wabongo wakabaki wafagia ofisi tu.

Nawatakia Eid njema watanzania wenzangu
 
Mkuu wabongo ni wizi sana, Mimi naunga mkono moja kwa moja makampuni kuleta ndugu zao kutoka mwakao. Wabongo uwezo wao wa kufikiri ni kuiba tu hakuna jengine.
Wewe huko ulikoajiliwa mara ngapi wamekutuhumu kwa wizi? Au wewe si mbongo?

Wizi ni hulka ya mtu sio mfumo wa kijamii unless uniambie kuna sheria au sera inayotutaka wabongo tuwe wezi.

Kufikia hapo, Nitaungana na wewe.
 
Upo sahihi nami sikubaliani na jambo hilo lakini kwa uzoefu wangu kwenye ajira kwa miaka kama 20 sasa, shida kubwa tuliyo nayo wabongo ni kukosa uaminifu au kwa lugha nyepesi tabia ya wizi...yaani kama unataka kufilisika kirahisi wewe ajiri wabongo na kisha wape nafasi za kufanya maamuzi...heheheee, wabongo ni wezi hatari...

Baadhi watasema ni vile maslahi ni madogo, hilo lina ukweli kwa kiasi fulani lakini pia hata wenye maslahi makubwa nao ni wezi...I have worked in some places ambapo hata finance manager who is paid well, ana company car na benefits kibao pia ni mwizi...the guy pretend to be very strict but he is a professional thief...disgusting!

Kwa hiyo hawa local investors wetu kama wahindi na waarabu ambao wengi wanaajiri sana wahindi kutoka India, nawaelewa sana kwanini wanafanya hivyo.

Wabongo tuache tabia ya kutamani maisha makubwa ya gharama ndani ya muda mfupi, tuache tabia za kushindana kwenye maisha ya kumiliki vitu vya thamani tofauti na vipato vyetu kwani hizo tabia ndiyo kichocheo kikubwa cha tabia ya wizi na frauds kwenye maeneo ya kazi.
 
Wewe huko ulikoajiliwa mara ngapi wamekutuhumu kwa wizi? Au wewe si mbongo?

Wizi ni hulka ya mtu sio mfumo wa kijamii unless uniambie kuna sheria au sera inayotutaka wabongo tuwe wezi.

Kufikia hapo, Nitaungana na wewe.
Mkuu upo sahihi kwa kiwango flani...

Kwenye somo la forensics kuna kitu wanaita frauds triangle....elements zake ni: motivation, opportunities na rationalization.

Opportunity ni ule uwezekano wa kuiba bila kukamatwa au kukamatwa with minor consequences...it's about internal controls za kampuni...weaker controls zinahamasisha wezi!

Shida sana kwa wabongo ipo hapo kwenye motivation: why would someone commit fraud?
Motivation kubwa ya wabongo na hii sasa ni tabia na ni matokeo ya malezi ni: prestige & greedy - mtu anataka kumiliki vitu vikubwa wakati kipato chake ni kidogo, unataka kuendesha X3 wakati mshahara wako ni wa IST, au kumiliki demu wa kumpangia mikocheni wakati uwezo wako ni demu wa kumpangia magomeni...considering those coupled with tabia hii ya mashindano ya kimya kimya kwenye uchumi bila kuzingatia vipato...hapo mkuu utaishia kuwa mwizi tu...

Baada ya motivation comes Rationalization...hii ni tabia ya kujifariji kisaikolojia baada ya kuiba...kwamba kama wakubwa wanaiba nami nikiiba kidogo kuna shida gani....

Wabongo hatari sana kwa wizi...
 
Katika wilaya ya mbinga kijiji cha ruanda mkoan ruvuma n moja ya sehem ambayo yanatoka makaa ya mawe mengi,

Kumekua na utaratib ambao naona hauko sawa na sijajua ni serikal inakalia kimya suala hili au ndio utaratib unaruhusu hivo,

Huko ruanda kuna makampun mengi yanachimba mkaa, yapo ya kitanzania na ya kigen,

Tatzo lipo ktk utaratibu wao wa kuajiri kumekua na utaratib wa kuajir wagen kutoka bara la asia ktk kampun moja pale mpaka sasa namba inataka kulingana kat ya wabongo na hao raia wa bara la asia na kwa taarifa za chin chin n kuwa wataendelea kuja mpaka basi.

Wanaajir mpaka kaz ambazo zilitakiwa zifanywe na wazawa mfano mafund wa magar, mtunza store, ni kitu kisichoingia akilin kwamba hapa ruvuma na tanzania kwa ujumla hatuna mtunza store ama hatuna mafund wa magar

Kinachonitatza n kuwa kaz za ndugu zetu wabongo sasa wanafanya wagen na wanaenda kuijenga nchi yao maana wanalipwa hapa bongo ila matumizi wanaenda kufanya kwao sasa tanzania kwanza twakosa manufaa ya mishahara yao na pia watoto wa kitanzania wanakosa kufaidika na keki ya taifa,

Naomba mamlaka husika ifike kuchunguza suala hili maana tunakoelekea huwenda wanakijiji na wafanyakaz wa kampun hyo wakibongo wanaweza kuja kushikana mashar maana wao wakija wanajiona n mabos na kuanza kuendesha wabongo watakavyo.

Ama km sheria zinaruhusu pia naweza kukosolewa kuwa hao wapo sawa hata km wakiajir wa asia wote wabongo wakabak wafagia ofis tu.

Nawatakia eid njema watanzania wenzangu
Watzn wengi ni longolongo nyingi ndio maana private sector haipendi kuwaajiri..

Hata hivyo Serikali haiwezi acha kuajiri wageni wakati Watzn kuna fani zinakosa watu na kusoma hamtaki ila kushabikia Michezo,uzushi ,umbea na upuuzi mwingine kama huo.

Hapa hakuna watu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220704-132942.png
    Screenshot_20220704-132942.png
    103.7 KB · Views: 3
Katika wilaya ya mbinga kijiji cha ruanda mkoan ruvuma n moja ya sehem ambayo yanatoka makaa ya mawe mengi,

Kumekua na utaratib ambao naona hauko sawa na sijajua ni serikal inakalia kimya suala hili au ndio utaratib unaruhusu hivo,

Huko ruanda kuna makampun mengi yanachimba mkaa, yapo ya kitanzania na ya kigen,

Tatzo lipo ktk utaratibu wao wa kuajiri kumekua na utaratib wa kuajir wagen kutoka bara la asia ktk kampun moja pale mpaka sasa namba inataka kulingana kat ya wabongo na hao raia wa bara la asia na kwa taarifa za chin chin n kuwa wataendelea kuja mpaka basi.

Wanaajir mpaka kaz ambazo zilitakiwa zifanywe na wazawa mfano mafund wa magar, mtunza store, ni kitu kisichoingia akilin kwamba hapa ruvuma na tanzania kwa ujumla hatuna mtunza store ama hatuna mafund wa magar

Kinachonitatza n kuwa kaz za ndugu zetu wabongo sasa wanafanya wagen na wanaenda kuijenga nchi yao maana wanalipwa hapa bongo ila matumizi wanaenda kufanya kwao sasa tanzania kwanza twakosa manufaa ya mishahara yao na pia watoto wa kitanzania wanakosa kufaidika na keki ya taifa,

Naomba mamlaka husika ifike kuchunguza suala hili maana tunakoelekea huwenda wanakijiji na wafanyakaz wa kampun hyo wakibongo wanaweza kuja kushikana mashar maana wao wakija wanajiona n mabos na kuanza kuendesha wabongo watakavyo.

Ama km sheria zinaruhusu pia naweza kukosolewa kuwa hao wapo sawa hata km wakiajir wa asia wote wabongo wakabak wafagia ofis tu.

Nawatakia eid njema watanzania wenzangu
mbunge wa jimbo hilo hili hajaliona?mimi nafikiri kwanza angeembiwa mbunge ili na yeye akalisemee bungeni lkn mkitegemea serikali kwa kila jambo itakuwa ngumu kweli sababu serikali ina mambo mengi sana.
 
Watzn wengi ni longolongo nyingi ndio maana private sector haipendi kuwaajiri..

Hata hivyo Serikali haiwezi acha kuajiri wageni wakati Watzn kuna fani zinakosa watu na kusoma hamtaki ila kushabikia Michezo,uzushi ,umbea na upuuzi kama huo 👇
kama fani gani pale kwenye mgodi ambayo ni very special.uzalendo kwanza achana na hao waasia.
 
Back
Top Bottom