Zambia mpinzani kachukua nchi bila Katiba Mpya

mdachi mdachi

Senior Member
Mar 9, 2017
107
130
Naam kama kichwa habari kinavyojielewa sote tumeshuhudia Zambia mpinzani akichukua nchi bila Katiba Mpya

Nawashauri CHADEMA waache uvivu wa kufikiri kwa kudhani kuwa Katiba Mpya ndio itawafanya waingie Ikulu kama bibi harusi anavyoingia chumbani kwa bwana ake.

Angalieni mnakosea wapi mrekebishe na siyo kutafuta visingizio, tafuteni agenda zinazowagusa wananchi na sio kufanya siasa za matukio.
 
Bila katiba mpya walaTume huru wakiwa serious wanaing'oa CCM saa 2 asubuhi.....tatizo wanaporwa ushindi waziwazi na hawachukui hatua,upinzani unataka vichwa vibishi dizaini ya Chacha Wangwe (R.I.P) sio hawa wa kukimbia nchi.
 
CCM tatizo ila Upinzani wa nchi hii hawajui nini wanataka, baada ya mama kuingia madarakani walianza vizuri kuanza kumobilize matawi na kufikia wanachama. Ila kwa kukosa strategies na malengo wakajivika zigo la katiba ambalo kiukweli walikurupuka na sasa hawajui hata wafanye nini.
 
Naam km kichwa habar kinavyojielewa sote tumeshuhudia zambia mpinzan akichukua nchi bila katiba mpya

Nawashaur chadema waache uvivu wa kufikir kwa kudhan kuwa katiba mpya ndio itawafanya waingie ikulu km bibi harus anavyoingia chumban kwa bwana ake.

Angalien mnakosea wap mrekebishe nasio kutafuta visingizio, tafuten agenda znazowagusa wananchi na sio kufanya siasa za matukio.

Kuwen na usiku mwema makamanda njaa na waoga wa kuthubutu na kujikosoa
Zambia walishabadili katiba Siku nyingi. Hii siyo mara ya kwanza Wapinzani kuchukua. Kaunda, Chiluba, Satta na huyu wa sasa wote ni kutoka vyama tofauti.

Vile vile Zambia wanajielewa kuliko sisi.... .. Hawana design ya kina Mahela kwenye tume yao. Siyo kama huku kwetu mgombea anaamua hafanyi kampeni Mikoa fulani halafu anapewa ushindi wa 80%.
 
Katiba ni muhimu wewe!!! Acha ujinga itaketa HAKI, USAWA NA UHURU wa kweli kwa Raia, vyombo vya habari na vyama vya kisiasa. Kutakuwa na uhuru wa Watanzania kuchagua Viongozi tuwatakao kuanzia Madiwani, Wabunge na Rais. Katiba mpya siyo ZIGO tia akili kichwani.
CCM tatizo ila Upinzani wa nchi hii hawajui nini wanataka, baada ya mama kuingia madarakani walianza vizuri kuanza kumobilize matawi na kufikia wanachama. Ila kwa kukosa strategies na malengo wakajivika zigo la katiba ambalo kiukweli walikurupuka na sasa hawajui hata wafanye nini.
 
Bila katiba na tume huru hata mkilinda kura mtauawa.
Katiba yenyewe hii mpakaspika ana kinga ya kutoshtakiwa
 
Naam km kichwa habar kinavyojielewa sote tumeshuhudia zambia mpinzan akichukua nchi bila katiba mpya

Nawashaur chadema waache uvivu wa kufikir kwa kudhan kuwa katiba mpya ndio itawafanya waingie ikulu km bibi harus anavyoingia chumban kwa bwana ake.

Angalien mnakosea wap mrekebishe nasio kutafuta visingizio, tafuten agenda znazowagusa wananchi na sio kufanya siasa za matukio.

Kuwen na usiku mwema makamanda njaa na waoga wa kuthubutu na kujikosoa
Wenzetu wako vizuri. Sisi tutaendelea na chama kilicho shika hatamu milele!
 
Katiba ni muhimu wewe!!! Acha ujinga itaketa HAKI, USAWA NA UHURU wa kweli kwa Raia, vyombo vya habari na vyama vya kisiasa. Kutakuwa na uhuru wa Watanzania kuchagua Viongozi tuwatakao kuanzia Madiwani, Wabunge na Rais. Katiba mpya siyo ZIGO tia akili kichwani.
Sikatai but walikurupuka kuanza sasa hivi. Hivi unajua Hitler alikuaje na nguvu ni kwa sababu alianza kufanya vitu vidogo ambavyo havikuwatisha mataifa mengine by the time amekua na nguvu it was too late kumdhibiti mpaka kupelekea WW2. Chadema whether they like it or not kuanza katiba movement muda huu ilikua stupid movement, wangejijenga kwanza hasa baada ya uchaguzi kuisha then after a year or two wangekua washaseti strategies za kuanzia katiba movement. Look at them now wanapush hashtag ya #MboweSioGaidi na wanakosa mass support sababu ya kutojipanga
 
Naam km kichwa habar kinavyojielewa sote tumeshuhudia zambia mpinzan akichukua nchi bila katiba mpya

Nawashaur chadema waache uvivu wa kufikir kwa kudhan kuwa katiba mpya ndio itawafanya waingie ikulu km bibi harus anavyoingia chumban kwa bwana ake.

Angalien mnakosea wap mrekebishe nasio kutafuta visingizio, tafuten agenda znazowagusa wananchi na sio kufanya siasa za matukio.

Kuwen na usiku mwema makamanda njaa na waoga wa kuthubutu na kujikosoa
Akili ndogo kuliko za kitimoto. Katiba sio kwaajili ya Chadema kuingia ikulu. Ni sheria mama ya kuongoza jamii yet.
 
CCM tatizo ila Upinzani wa nchi hii hawajui nini wanataka, baada ya mama kuingia madarakani walianza vizuri kuanza kumobilize matawi na kufikia wanachama. Ila kwa kukosa strategies na malengo wakajivika zigo la katiba ambalo kiukweli walikurupuka na sasa hawajui hata wafanye nini.
Tatizo siyo upinzani! Tatizo ni chama kilicho shika hatamu kutumia dola vibaya!
 
Naam km kichwa habar kinavyojielewa sote tumeshuhudia zambia mpinzan akichukua nchi bila katiba mpya

Nawashaur chadema waache uvivu wa kufikir kwa kudhan kuwa katiba mpya ndio itawafanya waingie ikulu km bibi harus anavyoingia chumban kwa bwana ake.

Angalien mnakosea wap mrekebishe nasio kutafuta visingizio, tafuten agenda znazowagusa wananchi na sio kufanya siasa za matukio.

Kuwen na usiku mwema makamanda njaa na waoga wa kuthubutu na kujikosoa
Sikutegemea kusoma andiko kama hili kwakweli.
 
Wala HAWAJAKURUPUKA hasa ukitilia maanani kwamba mfumo wa vyama vingi nchini una miaka 30 sasa na bado katiba ni chama kimoja iliyoandikwa na maccm. Ulitaka wasubiri miaka mingine 30? Wakati wa kuipata Katiba mpya ni SASA.
Sikatai but walikurupuka kuanza sasa hivi. Hivi unajua Hitler alikuaje na nguvu ni kwa sababu alianza kufanya vitu vidogo ambavyo havikuwatisha mataifa mengine by the time amekua na nguvu it was too late kumdhibiti mpaka kupelekea WW2. Chadema whether they like it or not kuanza katiba movement muda huu ilikua stupid movement, wangejijenga kwanza hasa baada ya uchaguzi kuisha then after a year or two wangekua washaseti strategies za kuanzia katiba movement. Look at them now wanapush hashtag ya #MboweSioGaidi na wanakosa mass support sababu ya kutojipanga
 
Back
Top Bottom