Kiki ikizoeleka huisha nguvu na kuwa "empty kiki" in efficacy. Mpaka sasa hivi mi naona kama vile imezoeleka na hakuna jipya tena hata kama akikamatwa watu hawa-pay attention kama mwanzo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasalim wanajamvi
Ni kwamba mimi nahitaji kuanzisha mradi wa ufugaji kuku wakienyeji kama 65 hivi kwa ajili ya nyama na mayai, na baadae ntaupanua said kama utanilipa.
Kutokana na hitaji hili nina uelewa mfinyu mno kuhusu:
1/ Gharama za uendeshaji mfano ununuaji wa madawa, ni banda lipi...
Ha ha haa! She isn't of the caliber u're trying to think she is of or vest her with. She's high cultured, anyway. Kwa hiyo nitamtendea haki yake accordingly... Ha haa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.