Dah,kuna ticha mmoja hivi wa BIOS yaani akifundisha classification sharti awachoree mpaka mjusi digestive system duh.alinifanya nisongoke nikaambulia D credit.Na ile mivitabu ya vines and reens alivyokuwa anaipenda duh.wakati nilikuwa karne ya biological science
Hivi APOPO ni NGO au mradi? Kwanini ipo Sua? Sua ni shirika la umma ambalo linakumbatia NGO hii, sijui kama MoU ya pande hizi mbili imekaa sawa zaidi ya kunufaisha baadhi ya watendaji katikati chuo hiki.
NGO hii haifuati masharti flaniflani ambayo Sua inataka lakinihaikaguliwi. watendaji mko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.