Recent content by Mchushia 1970

  1. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Usambazaji wa nguzo kupitia REA kwa mkoa wa Mtwara wilaya ya Masasi na baadhi ya vijiji vyake kama vile Mbonde, Mwenge Mtapika, Namkungwi ni wa kustaajabisha kwani wakazi wa pembezoni pekee ndio wanufaika huku walio ndani ni kitendawili kwani nguzo hazijawafikia. Hivyo nahitaji ufafanuzi kwani...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    Lisemwalo lipo na huo ndio mshahara wake kwa sababu kila kazi ina ujira wake. #WacheWaisomeNamba#
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu utaratibu wa kurudia mtihani wa kidato cha NNE

    Si kweli mkuu, mimi ni mwl wa taaluma ktk shule ya sekondari X kureset hakuna mpaka ila nenda kwenye shule au kituo unachotaka kufanyia mtihani kachukue serial number zilizotumwa toka baraza na utapewa buureee. Kisha nenda posta kalipie halafu nenda Internet cafe kajisajili rudi posta kaitume...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Naombwa kufahamishwa kuhusu Tusiime sekondari

    Mkuu hakuna shule inayofaulisha au kufelisha bali matokeo mazuri au mabaya yatategemea juhudi yako. Shule hukuonesha njia tu.
Back
Top Bottom