Recent content by MCHUMIA JUAN

  1. M

    Kumruhusu mkeo kufanya kazi ni sawa na kumpa talaka isiyo na maandishi

    Ni kwel Kaka umesema maneno kuntu ingawa chungu kumeza na ngumu kutema
  2. M

    Kwa maamuzi anayofanya Rais Magufuli, ni dhahiri kwamba anawachukiza wachache na kuwafurahisha wengi

    Sasa naamin UKAWA mnaweweseka au uwezo wa kufikir kwa baadhi ya watanzania ni mdogo hivi unakomaje mtu ambaye umemnad na kunpgia kura magufuli kwa imani kwamba ataleta mabadiliko? Mtu anayeuumia ni yule ambaye alimponda magufuli na hakumchagua ila leo kwa busara ya watu wengine Taifa...
  3. M

    Hii kauli ya Magufuli "Polisi ueni Majambazi", imenitisha sana

    Jambaz ni muuaj hapaswi kuachwa hai jambaz anaua na hata hukmu ya uislam jambaz anatakiwa kuuawa akuthibitika hao ni watu hatar hongera maguful
  4. M

    Akifika kileleni ni tatizo

    kwa watoto wadogo ni ulawit kwa wakubwa ndo hlo jingine.
  5. M

    Nauza Suzuki Escudo yenye 4wd

    weka pcha na bei
  6. M

    Mchungaji Gwajima ana cheo gani ndani ya CHADEMA mpaka kushiriki mchakato wa mgombea?

    uswahiba huo tangu lini?EL na sla ni paka na panya acha uongo
  7. M

    Mchungaji Gwajima ana cheo gani ndani ya CHADEMA mpaka kushiriki mchakato wa mgombea?

    Kumbe kweli hiki ni chama cha udini kwan kamati kuu wanateuliwa au wanachaguliwa?ok waislamu weng nn madhara yake mpaka leo naona urais ni zamu zamu kumbe nlikuwa cjui sasa subir maamuz ya waislam huna hata haya waropoka tu
  8. M

    Mji Wa Mpanda wazizima, Lowassa asimamisha shuguli za mji wote

    Tambuen kwamba kujaa ktk kampen c kupga kura vitu hv ni vya mara 1 hvyo hakuna anayetaka kusimuliwa.tofaut ya ukawa na ccm n watu wanaojaa kwa ccm wana mavaz ya chama hvyo ni waz kwmb ni wapga kura wao ila ukawa ni wachache huvaa sare n vgumu kuamini hao wote ni watu wao.
  9. M

    Mji Wa Mpanda wazizima, Lowassa asimamisha shuguli za mji wote

    Watu wanamsikia tu ndo wanakuja kumuona
  10. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    nilijua una mapenzi na diamond tu kumbe unaitakia mema nchi yetu saf sana sasa hv ukipnga ukawa unaonekana umepitwa na wakat ila kwa EL big NO
  11. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    sasa mtu umeshikwa na mke watu ushahid upo halafu tena ujiteteee mmh.ukawa wamevulia nguo sasa waseme nini hawana jibu na hawana nguvu ya kupga vita ufisad wote ni wale wale sema nao wanataka wachukue dola wale zaid hapa hakuna eti wanataka mabadiliko ila ni kula bata tu
  12. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    MWIGULU alisema jana hivi ccm ingempitisha lowasa ukawa wangesemaje juu ya lowasa kama c matuc ya ufisadi yangejaa?swali zur kwa watu wenye akili.pia hv ujinga wa slaa mnauona leo anapocmamia kile anachokiamini?hv hoja zote alizozisema mpaka akatishiwa uhai wake na mtu 1 ambaye leo ni tajir...
Back
Top Bottom