Recent content by mchuku wa mangi

  1. mchuku wa mangi

    2025 vigogo hawa watatoana jasho jimbo la Mwanga

    Mwaka 2025 siyo mbali kama Mwenyezi Mungu anakuweka hai,ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa kumpata Rais, wabunge na madiwani na kuna majimbo ya uchaguzi ambayo hakika makada watatoana jasho kweli kweli. Jimbo la Mwanga ni moja ya majimbo nane ya uchaguzi mkoani Kilimanjaro ambalo kwa sasa mbunge wake...
  2. mchuku wa mangi

    Hivi ndivyo wakandarasi wanavyopiga pesa za UKIMWI

    Jidu Inawezekana unaongelea kitu usichokijua ama na wewe ni mmoja wa wapigaji,unadhani Takukuru ni wajinga kama wewe?wanaweza wakatoa taarifa ya kupotosha?,ili iwasaidie nini?
  3. mchuku wa mangi

    Wababe wa vita walioogopwa sana na wazungu lakini maisha yao yakaishia pabaya, Putin anapaswa kujifunza kwao

    Bora tujadiri kifo cha SHINZO ABE, huu upuuzi tuutupe kuleeeeeeeeeeeee
  4. mchuku wa mangi

    Hivi ndivyo wakandarasi wanavyopiga pesa za UKIMWI

    Kampuni ya Ukandarasi ya Rocktronic ya mjini moshi ni moja ya kampuni za ukandarasi zinazotajwa kupiga pesa zinazopaswa kutengwa na wakandarasi hao kwa ajili ya kutoa elimu ya kujikinga na mambuziki ya UKIMWI kwa jamii inayozunguka kwenye maeneo ya miradi wanayoitekeleza. Iko hivi,fedha hizo...
  5. mchuku wa mangi

    Polisi wasema wivu wa mapenzi chanzo mauaji ya watu 7 wa familia moja Kigoma

    Duuuuuuuuuuuuuu,huu ni zaidi ya wivu wa mapenzi,ni ushenzi uliopitiliza,wivu wa mapenzi uteketeze familia yoteee? ,hapa aiseeeee
  6. mchuku wa mangi

    Polisi Kilimanjaro mfikisheni Mahakamani Mke wa tajiri huyu

    Kuna waimbaji wanaimba 'mwenye pea' si mwenzako ni kweli mwenye pesa si mwenzako,wengine wanasema mwenye nguvu mpishe, huwezi shindana naye. Nimeonelea nianze kuhathisia kisa hiki kwa kuanza hivyo pengine huko mbele mtanielewa namaanisha nini? Mwezi novemba 2019 eneo la Majengo mjini Moshi...
  7. mchuku wa mangi

    Bar/pub na mziki mkubwa: Wenye bar tambua kuajiri mameneja na ma dj maskini wa kufikiri inawaharibia biashara

    Miongoni mwa watu wanaokwazika na huo mziki ni mimi,hakuta utulivu,ukipigiwa simu unatimua bio kwenda nje ukapokee vizuri,ya nini yote hayo
  8. mchuku wa mangi

    Nani anawalinda waliovamia na kupora Meku’s bar?

    APRI 29 mwaka 2019 tukio kubwa na aina yake lilitokea mjini moshi baada yakundi kubwa la watu wakiwa na silaha za moto kuvamia na kupora mali kwenye mgahawa maarufu wa Meku’s Bristol Bar and Restaurant . Wavamizi hawa ambao walikuwa na kila aina ua jeuri baada ya uvamizi huo waliondoka na mali...
Back
Top Bottom