Recent content by Mchoraji Cyper255

  1. Mchoraji Cyper255

    Madai haya juu ya wa 2000 yana ukweli wowote?

    Ni mawazo yao tu. Mimi nimeoa mke kazaliwa 22/10/2000 na tuna watoto 2 na bado inabana balaa.
  2. Mchoraji Cyper255

    Machache niliyogundua kuhusu wanawake kwenye mahusiano

    10: Mwanamke akikutishia tuachane akakusanya virago vyake na kwenda kwao , kamwe usimbeleze na wala usimtake abaki. Mwache aende na akimaliza mwezi mmoja kwao achana nae kabisa huyo siyo wako
  3. Mchoraji Cyper255

    Vikaragosi vya AI vinaua ubunifu wa sanaa ya uchoraji na havina mafunzo

    Uchoraji hauwezi kufa hata siku moja. Ni sawa na suruali ya Jinsi, zitakuja fashion za kila aina ila jinsi lipo tu
  4. Mchoraji Cyper255

    Lita 1 ya petroli inaliwa kwa kilomita ngapi kwa usafiri wa pikipiki?

    Humu kuna Nyuzi nyingi za jinsi ya kujiandaa na Safari za mikoani kwa Pikipiki. Unaweza zipitia ukapata elimu zaidi. Mi mwisho wa route ndefu ni km 350.
  5. Mchoraji Cyper255

    Lita 1 ya petroli inaliwa kwa kilomita ngapi kwa usafiri wa pikipiki?

    Mimi nina Tvs hlx 125. Inalamba 40km kwa 1 ltr. Kama unaenda na pikipiki long trip kwaajili ya kutalii Nchi yako sawa. Ila kama ni safari ya haraka sana panda Basi tu ni salama zaidi.
  6. Mchoraji Cyper255

    Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

    Mbona hapapo hivyo Dogo. Ngoja nikapapige picha nikuoneshe. Hacha kupotosha umma
  7. Mchoraji Cyper255

    Kati ya simu tatu zinazopigwa, mbili ni za mtu anayetaka apewe pesa

    "Shikamoo Uncle, nitumie elfu 15 ya nauli ya kwenda kwa Bibi. Nataka niende kesho asubuhi".
  8. Mchoraji Cyper255

    Makonda asipokonda basi ataishia Makondeko

    Mzimu umefufuka. Bado hujasema.
  9. Mchoraji Cyper255

    Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

    Nimefatilia mwanzo mpaka hapa. Wewe Gentlemen_ ni balaa.
  10. Mchoraji Cyper255

    Ukitaka kununua kiwanja hakikisha survivey plan iko approved wizarani

    Mimi niliuziwa kiwanja Kishiri baadae ikaonekana Barabara inakula kiwanja nusu ikabidi nibadilishiwe kiwanja. Uzuri wa kununua kwenye kampuni.
  11. Mchoraji Cyper255

    Rais Samia: Hatukutoa fursa ya Mikutano ya hadhara watu wakavunje sheria, wasimame kutukana, kukashifu na kuchambua dini za wengine

    Kawaangusha wanawake wote kwenye uongozi. Imeonekana anawake hawawezi kuongoza kama asili ilivyo
  12. Mchoraji Cyper255

    Msaada nataka kujua kwanini mbegu zinarudisha nje baada ya kusex na wife mi kama 15 mpaka sekunde 40 au dk1

    "Msaada nataka kujua kwanini mbegu zinarudisha nje baada ya kusex na wife mi kama 15 mpaka sekunde 40 au dk1" •Alieelewa heading anifafanulie tafadhali
Back
Top Bottom