Nikweli kakaa mi nakumbuka kunasikuu nlikuwa nasoma somaa kwenye group la ujasiriamali nkaona idea nkapita nayo na kweli ilinisaidia Sana xo kusoma piaa Ni muhimu Sana Ila inategemeaa unasoma nini
Watanzania wanzaniaa wanapenda kuchangiaa mada za udaku skuizz na za makalioo cjui Ni nani aliyeturoga
Pia tumekuwa wachoyo Sana wa kushare idea tunaona km tunamfaidishaa mtu Yani wakati ndo lengo la ujasiriamali kusaidiana
Mimi nmetoa huu Uzi huku nikiamini kuwa tunaweza msaidia mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.