Ujenzi ulioendeshwa kwa kasi na udhamini wa Rais. Ujenzi ulianza Desemba 2019 na ulifikia asilimia 85 ifikapo Machi 2024.
Katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, mradi ulikua kwa kasi. Alikuta ukiwa umefikia asilimia 25 tu.
Umefikia ukamilifu asilimia 100 ifikapo Juni 2025.
2...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowasili Mbeya Mjini kwenye Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 04,2025.
#Kurayakwanzakwasamia
#Haijapatakutokea
AHADI ZA CCM MBALIZI MKOANI
MBEYA 2025-2030
•Kujenga miundo mbinu ya madaraja na barabara
•Kuwapatia Mbolea ya Ruzuku na pembejeo za kilimo.
•Ukamilishaji wa machinjio ya kisasa Kitengule. Kuanzisha kampeni ya chanjo na utambuzi wa mifugo
•Ujenzi na ukamilishaji wa barabara ya...
Nchi ya Tanzania ni nchi ambayo imekuwa katika msingi ya haki na demokrasia na haya ndio yanayoleta matokeo ya amani.
Lakini amani ambayo ndani ya nchi tunayo ni kitu ambacho kinawaumiza wale ambazo hawapendi kuona Tanzania inayoongozwa na Dkt.Samia suluhu ikiwa nayo na hapa ndio inakuwa...
Video clip ya wanamziki wanne wa tz(Diamond, ommy dimpoz, jux na Mario) kuhusu swala la watu kuacha kulaumu utawala wa serikali ni wamefanya sahihi kabisa maana wananchi wengi amekuwa wakitoa lawama kwa utawala pasipo kujua hakuna kiongozi atakaye kuletea chakula nyumbani Bali tufanye kazi...
Moja ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu ni ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Songwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Jengo linaloonekana ni jengo la madarasa ya kisasa kabisa.
wameweza kufaidika na mradi huu mama umetekeleza na pia bila kusaha mama umefanya ongezeko la ufaulu kwa asilimia 37% katika mkoa huo. Haya ni baadhi tu kati ya yale mengi aliyofanya Mhe.Raisi
#haijapatakutokea #kurayakwanzakwasamia @ikulu_mawasiliano @samia_suluhu_hassan @ccmtanzania
Yanayojili hivi sasa kwa Humphrey polepole wengi hawajayachukulia serious kutokana na kuonekana hayupo sawa katika afya ya akili, hivyo basi kama upo karibu naye hakikisha anaweza kupatiwa matibabu hayo.
Maana kilichompelekea kufikia hapo ni kupewa madaraka ya kuwa balozi wa Tanzania nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.