Recent content by Mchinox

  1. M

    Bachelor of optometry

    Hivi kuna chuo tanzania kinatoa hio kozi?? Na vipi kwa nje ya nchi vyuo vinavyotoa ni vipi? Na vigezo vipoje?
  2. M

    KUHUSU AMO

    Vigezo vya kusoma hio kozi vipoje mkuu ?
  3. M

    KUHUSU AMO

    Vigezo vyao vipoje chief ????
  4. M

    KUHUSU AMO

    Vigezo vyao vipoje mkuu???
  5. M

    KUHUSU AMO

    Assistant medical officer (AMO)
  6. M

    KUHUSU AMO

    Hivii mtu akitaka kusoma AMO afate taratibu zipi kwa sasa hivi....? Japo kwa Tanzania haipo,je akitaka kusoma nje inawezekana?? Na taratibu na vigezo zipoje???
  7. M

    Kuhusu foundation kozi ya clinical medicine

    Kwa anaefahamu naomba msaada...mtu mwenye diploma ya clinical officer na akapata gpa chini ya 3 Je akisoma foundation kozi akafanikiwa kupata GPA zaidi ya hapo... Inawezekana kwenda kusoma MD?? vyuo vya nje?? Na tcu hawasumbui??
  8. M

    Msaada: Kuhusu foundation course za Clinical Officer

    Kwa graduate wa Clinical Officer ambao wameshindwa kumaliza na GPA nzuri i. e zaidi ya 3 ili waweze kuendelea na masomo ya ngazi inayofuata, hivi inawezekana kusoma foundation kozi? Na vyuo gani vinavyopokea watu wa design hio? Mwenye uelewa naomba msaada.
  9. M

    Kozi ya optometry

    Kwa TZ hakuna chuo kinachotoa.... Kcmc wameacha kutoa, Sahv watu wanaenda abroad kusoma hio kozi. Hio ndio update nliopata.
  10. M

    Nchi gani ni nzuri kwa kozi za afya na gharama ya chini kwa mwanafunzi

    Sio kweli....kikubwa kabla ya kuondoka aende TCU kupata kibali cha kusoma hio kozi..... Wakimruhusu anasoma bila shida yoyote tuu
  11. M

    TAMISEMI wapo kimya suala la ajira za Ualimu na Afya

    Hadi leo TAMISEMI wapo kimya wakati walitangaza mwisho wa February watatoa ajira za ualimu na afya duh
  12. M

    Nchi gani ni nzuri kwa kozi za afya na gharama ya chini kwa mwanafunzi

    Twende India...mwenyewe natarajia kwenda kusoma optometry na nina matokeo kama hayoo pia
  13. M

    Viwango vya mshahara serikalini degree 1

    Hivi watu wenye degree ya macho (optometrist) wanalipwa ngapi??
Back
Top Bottom