Recent content by mchichaa

  1. mchichaa

    Bado nipo Arusha, bata limeninogea

    Arushaa raha watu wako bize na shughulii zao, mimi pekee yako ndio nipo Jf cz nimetokea Dar
  2. mchichaa

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Malipo yatakua kabla ya kupokea mzigo au badaya ya kupokea mzigo
  3. mchichaa

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Daaah upo mbalii mkuu, no nipo arusha
  4. mchichaa

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Mkuu unapatikanaa wapi
  5. mchichaa

    DAR vs ARUSHA wapi kuna ughali au unafuu wa maisha?Special thread njoo ujifunze kitu hapa

    Dar patamu uwe uswahilini uta enjoy km ukiwa labda buguruni kule zn Arusha napo uta enjoy km kwa moromboo
  6. mchichaa

    DAR vs ARUSHA wapi kuna ughali au unafuu wa maisha?Special thread njoo ujifunze kitu hapa

    Tukutane tengeru j5 pale sumnii bar, Mashimba maisha plus au Triple K
  7. mchichaa

    Je, ni kweli mwanamke hawezi kabisa kusahau mwanaume aliyemtoa bikra?

    Duuuhh kwa iyo sie tuliekua na wapenzii sio bikra tunagongewa na waliozitoa enziii
  8. mchichaa

    Wahitimu wa faculty of Civil Engineering UDSM hawana faida kwa Taifa letu

    Piaa tatizo ndani ya nchi yetu hakuna Uzalendoo.....Nzawa anaweza akapewa mradii mkubwa uchakachuajii ni mwingii, mfano kipindii cha nyuma kuna baadhii ya magorofa yalikua yanandokaga...assume mkija kupewa barabara itakuaje itadumuu kwelii....Zen tushajitengenezea kila kitu ni njee ya nchi cz...
  9. mchichaa

    Tuwapende mama zetu na wake zetu wanapitia magumu sana kipindi cha ujauzito

    Mi wa kwangu ana mimba ya miezii miwilii anasumbuajee......mbka anataka akaitoee anadai hawezii teseka hivii....mbka tunagombanaa.
  10. mchichaa

    Umewahi kumkomoa msichana wakati wa kufanya mapenzi?

    Duuuhh hatariii ilo lako litakua si rambo
Back
Top Bottom