Jana mida ya saa saba usiku kulitokea ugomvi kati ya wateja wawili wa regency hotel ambao mmoja wao ni mwenyekiti wa UVCCM mara aitwae Sango Kasera.
Sababu ya ugomvi ni mteja huyo mwingine kuligonga gari ya Sango likiwa lkimepark na hivyo Sango kutaka alipwe gharama za uhalibifu huo.
Kumbe...
a Sued Kubenea mhariri wa gazeti lililokuwa likiitwaga Mwanahalisi ndio aliemkabidhi Mabere Marando simu mbalimbali za watu wanaowasiliana na viongozi....Kubenea katika kumpa simu hizo alikosea badala ya kuweka simu ya Jack Zoka akawekaya Zitto kabwe jambo ambalo limesababisha ugomvi mkubwa kati...
a Sued Kubenea mhariri wa gazeti lililokuwa likiitwaga Mwanahalisi ndio aliemkabidha Mabere Marando simu mbalimbali za watu wanaowasiliana na viongozi....Kubenea katika kumpa simu hizo alikosea badala ya kuweka simu ya Jack Zoka akawekaya Zitto kabwe jambo ambalo limesababisha ugomvi mkubwa kati...
a Sued Kubenea mhariri wa gazeti lililokuwa likiitwaga Mwanahalisi ndio aliemkabidhi Mabere Marando simu mbalimbali za watu wanaowasiliana na viongozi....Kubenea katika kumpa simu hizo alikosea badala ya kuweka simu ya Jack Zoka akawekaya Zitto kabwe jambo ambalo limesababisha ugomvi mkubwa kati...
a Sued Kubenea mhariri wa gazeti lililokuwa likiitwaga Mwanahalisi ndio aliemkabidha Mabere Marando simu mbalimbali za watu wanaowasiliana na viongozi....Kubenea katika kumpa simu hizo alikosea badala ya kuweka simu ya Jack Zoka akawekaya Zitto kabwe jambo ambalo limesababisha ugomvi mkubwa kati...
Hii inaonyesha jinsi jamaa alivyokuwa hajatembelea jimbo lake kushukuru mpaka miaka miwili imefika kabla ya uchaguzi ndio anamuona huyo mzee hata sijui hayo maendeleo alikuwa anayakagua vipi hapo
kwa mara ya kwanza kwenye thread hii nimekukuta mtu ulieweza kuelewa mada ya nchimbi ilikuwa inasema nini.......na pia wako waislam wengi sana ambao hawaungi mkono kilichotokea kwa namana yeypte ile na wanajisikia aibu kwa fujo hizo....ni makosa sana kuwajumuhisha waislamu wote kwa matukio haya...
Ulinzi kwa MH Lowasa umeongezeka zaidi kiuliko hapo awali hasa wakati wa bunge la mwisho wale ambao tulienda kumsalimia nyumbani kwake mara zote mh akiwa anahitaji aongezewe whisky basi peter serukamba aliluwa akiwahi jikoni na kuja kummiminia kwa kasi ya ajabu hata dada Tatu yule muhudumu...
Nikipiga picha na ile suruali ya Slaa ya cadet anakuwa kama kajiharishia na mbio hahahahhhhahhahah chadema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kweli chadema mmeishiwa huyu bananga hata vidudu hakumaliza leo ndio anakuwa mgombea wenu na tena hapa dar hata hana makazi ya kuishi kwa mara ya kwanza aliletwa na Millya hapa mjini
Nimepitia kwa makini sana michango yenu yote hapa mliotoa ambapo inaonyesha labda kwa uelewa mdogo au ukanjanja wa wachangiaji wa hapa kwa kiwango cha kuambiwa kuwa haya maelezo ypte ni maoni ya mhariri wakati haya ni mawazo ya mchangaiji wa habari yani mzee yusuphu halimoja......Halimoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.