Kuna uvumi sugu kuwa paka siyo wazuri Sana kiafya kwetu kwa kuwa MANYOYA yao husababisha pumu.... Ni Nani aliwahi pata pumu kwa kujiweka karibu na paka? Jamiicheck tuambieni hapa ,NI kweli MANYOYA ya paka huweza kuleta pumu?
Depression? Mishahara laki8+m ara m 2.3? Mtaji wa biashara mnataka utoke nje ya familia,Tena kwa kuazima...wanawake mnakuwaga wabinafsi sana,sasa usiombe huyo mumeo awe kashagundua huo ubinafsi na kuukatia tamaa kuwa kwa ubinafsi huu hatutofika popote...anasubiri tu useme tuachane,akujibu kwa...
Kuna Imani kuwa nyoka huuma na kuacha meno yake kwa muhanga wake. ...ifahamike meno ndo silaha kuu ya nyoka,katika kujitafutia chakula na kujilindA...Asilimia kubwa ya watanzania wanaamini hivyo kuwa nyoka akikuuma anakuachia meno ambapo inakubidi uyatoe haraka kabla madhara hayajawa makubwa...
Kwamba kura halali ndo zinaamuaga mshindi? Kwenye tume iliyoteuliwa na Nani? Tena wa itikadi gani ya kisiasa?? Kuwa serious basi, nchi za watu zimee ndelea baada ya kuacha usenge usenge kwenye michakato muhimu kama uchaguzi. ....
UNAINGILIWA SI BURE.
Hakuna namna ya kuniambia kuwa Adam na hawa hawakuwa watanzania.
Picha linaanza, huko bonde la olvai (umasaini) ambapo Dr. Leakey aligundua fuvu la kichwa cha binadamu wa kale zaidi (Kama sio la Adam basi la hawa).
Na tunafundishwa mashuleni kuwa habari kuhusu fuvu hilo ni za kweli. Hivyo basi...
Peter tosh
- epual rights
_mama Africa
-jah say no
-reruiting soldiers
-mystery Babylon
Senzo
-rasta wake up
-great concueror
-let there be love
-i'll be there
-whos gonna care
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.