Recent content by mchalomba

  1. M

    Wake wa kaka zangu

    cha maana tunaheshimiana licha ya kupendana. Pia tunawafundisha watoto wetu wapendane na wajue ni ndugu, hata ikitokea mmoja wetu hayupo duniani wajue wana wazazi na ndugu wa kumshauri na kushirikiana.
  2. M

    Wake wa kaka zangu

    ninaowahurumia sana ni watoto. Unajua kwa ujinga wao hata kaka zetu wamekuwa kama mazezeta vile wanasikiliza wake zao, hata watoto shule ni shida. Yaani watoto wetu na wakwao wanakuwa na utofauti kubwa sana utafikiri sio ndugu. Watoto wananiumiza sana.
  3. M

    Wake wa kaka zangu

    Jamani wana JF nisaidieni ushauri. Sisi tulizaliwa 7, wavulana 3, na wanawake 4. Bahati mbaya wazazi wetu wote walishatangulia mbele ya haki. wavulana wote wameoa na wasichana wameolewa. Kwa upande wetu sisi 7 tunapendana. Kwa wasichana huwa tunatembeleana, tunasaidiana, kwa kifupi tuko...
  4. M

    Wanaume na ndoa za dada zetu

    Uwe na moyo huo huo kwa mkeo na pia umsaidie dada yako ili asiwe tegemezi kwa huyo mumewe baradhuli. Hapo ndio unajifunza jinsi watu walivyo tofauti.
  5. M

    Dada zetu "wanaume pia wana mioyo jamani waonyesheni pia kuwa mnawapenda walau hata kidogo

    Jaribu kujali mkeo kama unavyojali nyumba ndogo uone kama mkeo hatakuita majina yote. Tatizo lenu mkishaoa wake zenu mnaona mmemaliza, hana haja ya kupendwa, kuletewa zawadi, kubembelezwa. Baada ya ndoa wanaume wanabaki kuwa watawala. Ndio maana utakuta nyumbani kaacha buku mbili lakini nyumba...
  6. M

    Tanzia: Balozi Isaac Abraham Sepetu (baba yake Wema Sepetu) afariki dunia

    Poleni sana wafiwa. Nilisoma na binti mmoja na mtoto wa huyo mzee miaka ya 1990s kule Kibosho Girls. Huyo binti anaitwa Tunu. Poleni sana kwa kuondokewa na mpendwa wenu. Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe.
  7. M

    Naomba ushauri wenu

    Tuko wangapi? Chukua hatua.
  8. M

    Mgodi wa Tanzanite Unauzwa

    ni mgodi sio shimo mkuu. kama uko tayari nakupeleka uuone uridhike ndio biashara ifanyike. siwezi kukukuzia mbuzi kwenye gunia.
  9. M

    Mgodi wa Tanzanite Unauzwa

    ni mgodi sio shimo mkuu. kama uko tayari nakupeleka uuone uridhike ndio biashara ifanyike. siwezi kukukuzia mbuzi kwenye gunia.
  10. M

    Mgodi wa Tanzanite Unauzwa

    ni pm mkuu kama uko serious
  11. M

    Mgodi wa Tanzanite Unauzwa

    Wadau ninauza mgodi wa Tanzanite. Uko Mererani, wilaya ya Simanjiro Arusha. Kitalu D. Anayehitaji bei ni maelewano. Kama uko serious ni pm. Leseni na kila kitu kipo.
  12. M

    Suluhisho la madoa sugu kwenye ngozi na machunusi

    kwa mikoani kama Arusha tutaipataje?
  13. M

    Mgodi wa tanzanite unauzwa

    Mgodi wa tanzanite ulioko Mererani, wilaya ya Simanjiro - Arusha unauzwa. Una leseni na umelipiwa. uko block D. uko vizuri. Bei ni 350m. Kwa anayehitaji ani-PM au email: haiksammy@yahoo.com
  14. M

    Hodi

    Naombeni mnipokee.
Back
Top Bottom